Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni
- Matangazo -




Zaburi 116:9 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

9 Nitaenenda mbele za BWANA Katika nchi za walio hai.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

9 Nitatembea mbele yake Mwenyezi-Mungu, katika nchi ya watu walio hai.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

9 Nitatembea mbele yake Mwenyezi-Mungu, katika nchi ya watu walio hai.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

9 Nitatembea mbele yake Mwenyezi-Mungu, katika nchi ya watu walio hai.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

9 ili niweze kutembea mbele za Mwenyezi Mungu, katika nchi ya walio hai.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

9 ili niweze kutembea mbele za bwana, katika nchi ya walio hai.

Tazama sura Nakili




Zaburi 116:9
9 Marejeleo ya Msalaba  

Abramu alipokuwa mtu wa miaka tisini na tisa, BWANA akamtokea Abramu, akamwambia, Mimi ni Mungu Mwenyezi, uende mbele yangu, ukawe mkamilifu.


ili BWANA afanye imara neno lake alilonena kuhusu habari yangu, akisema, Ikiwa watoto wako wataiangalia njia yao, wakienda mbele zangu kwa kweli, kwa moyo wao wote, na kwa roho yao yote, (akasema), hutakosa mtu katika kiti cha enzi cha Israeli.


Na sasa, Ee BWANA, Mungu wa Israeli, umtimizie mtumishi wako, Daudi, baba yangu, ahadi uliyomwahidia, ukisema, Hutakosa kuwa na mtu wa kuketi katika kiti cha enzi cha Israeli machoni pangu, kama watoto wako wakiangalia njia zao, ili kuenenda mbele zangu kama wewe ulivyoenenda.


na wewe, ukienda mbele zangu kama alivyokwenda Daudi, baba yako, kwa ukamilifu wa moyo, na kwa adili, kufanya hayo yote niliyokuamuru, na kuzishika sheria zangu na hukumu zangu,


Naamini ya kuwa nitauona wema wa BWANA Katika nchi ya walio hai.


Atakaa mbele za Mungu milele, Ziagize fadhili na kweli zimhifadhi.


Kwa kuonewa na kuhukumiwa aliondolewa; Na maisha yake ni nani angeyajali? Maana amekatiliwa mbali na nchi ya walio hai; Alipigwa kwa sababu ya makosa ya watu wangu.


Na wote wawili walikuwa wenye haki mbele za Mungu, wakiishi katika amri zote za Bwana na maagizo yake bila lawama.


Kwa utakatifu na kwa haki Mbele zake siku zetu zote.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo