Zaburi 116:8 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC8 Maana umeniponya nafsi yangu na mauti, Macho yangu na machozi, Na miguu yangu na kuanguka. Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema8 Ameniokoa kifoni na kufuta machozi yangu; akanilinda nisije nikaanguka. Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND8 Ameniokoa kifoni na kufuta machozi yangu; akanilinda nisije nikaanguka. Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza8 Ameniokoa kifoni na kufuta machozi yangu; akanilinda nisije nikaanguka. Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu8 Kwa kuwa wewe, Ee Mwenyezi Mungu, umeniokoa nafsi yangu na mauti, macho yangu kutokana na machozi, miguu yangu kutokana na kujikwaa, Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu8 Kwa kuwa wewe, Ee bwana, umeniokoa nafsi yangu na mauti, macho yangu kutokana na machozi, miguu yangu kutokana na kujikwaa, Tazama sura |