Zaburi 116:6 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC6 BWANA huwalinda wasio na hila; Nilidhilika, akaniokoa. Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema6 Mwenyezi-Mungu huwalinda wanyofu; nilipokuwa nimekandamizwa aliniokoa. Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND6 Mwenyezi-Mungu huwalinda wanyofu; nilipokuwa nimekandamizwa aliniokoa. Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza6 Mwenyezi-Mungu huwalinda wanyofu; nilipokuwa nimekandamizwa aliniokoa. Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu6 Mwenyezi Mungu huwalinda wanyenyekevu, nilipokuwa katika shida kubwa, aliniokoa. Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu6 bwana huwalinda wanyenyekevu, nilipokuwa katika shida kubwa, aliniokoa. Tazama sura |