Zaburi 116:5 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC5 BWANA ni mwenye neema na haki, Naam, Mungu wetu ni mwenye rehema. Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema5 Mwenyezi-Mungu amejaa wema na uaminifu; Mungu wetu ni mwenye huruma. Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND5 Mwenyezi-Mungu amejaa wema na uaminifu; Mungu wetu ni mwenye huruma. Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza5 Mwenyezi-Mungu amejaa wema na uaminifu; Mungu wetu ni mwenye huruma. Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu5 Mwenyezi Mungu ni mwenye neema na haki, Mungu wetu ni mwingi wa huruma. Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu5 bwana ni mwenye neema na haki, Mungu wetu ni mwingi wa huruma. Tazama sura |
ila wakakataa kutii, wala hawakuyakumbuka maajabu yako, uliyoyafanya kati yao; lakini wakafanya shingo zao kuwa ngumu, na katika kuasi kwao wakaweka jemadari, ili wairudie hali ya utumwa; lakini wewe u Mungu, uliye tayari kusamehe, mwenye neema, mwenye huruma nyingi, si mwepesi wa hasira, u mwingi wa rehema, basi hukuwaacha.