Zaburi 116:4 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC4 Nikaliitia jina la BWANA. Ee BWANA, nakuomba sana, Uniokoe nafsi yangu. Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema4 Kisha nikamlilia Mwenyezi-Mungu: “Ee Mwenyezi-Mungu, tafadhali unisalimishe!” Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND4 Kisha nikamlilia Mwenyezi-Mungu: “Ee Mwenyezi-Mungu, tafadhali unisalimishe!” Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza4 Kisha nikamlilia Mwenyezi-Mungu: “Ee Mwenyezi-Mungu, tafadhali unisalimishe!” Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu4 Ndipo nikaliitia jina la Mwenyezi Mungu: “Ee Mwenyezi Mungu, niokoe!” Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu4 Ndipo nikaliitia jina la bwana: “Ee bwana, niokoe!” Tazama sura |