Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni
- Matangazo -




Zaburi 116:2 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

2 Kwa maana amenitegea sikio lake, Kwa hiyo nitamwita siku zangu zote.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

2 Yeye amenitegea sikio, hivyo nitamwomba muda wote niishio.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

2 Yeye amenitegea sikio, hivyo nitamwomba muda wote niishio.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

2 Yeye amenitegea sikio, hivyo nitamwomba muda wote niishio.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

2 Kwa sababu amenitegea sikio lake, nitamwita siku zote za maisha yangu.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

2 Kwa sababu amenitegea sikio lake, nitamwita siku zote za maisha yangu.

Tazama sura Nakili




Zaburi 116:2
13 Marejeleo ya Msalaba  

Je! Atajifurahisha katika Mwenyezi, Na kumlingana Mungu nyakati zote?


Na ahimidiwe BWANA. Maana ameisikia sauti ya dua yangu;


Unitegee sikio lako, uniokoe hima. Uwe kwangu mwamba wa nguvu, Ngome thabiti ya kuniokoa.


Ndiwe mwamba wangu na ngome yangu; Kwa ajili ya jina lako uniongoze na unichunge.


Nilimngoja BWANA kwa subira, Akaniinamia na kusikia kilio changu.


Ee BWANA, Mungu wa wokovu wangu Mchana na usiku nimelia mbele zako.


Maana ulinitupa vilindini, Ndani ya moyo wa bahari; Gharika ya maji ikanizunguka pande zote; Mawimbi yako yote na gharika zako zote zimepita juu yangu.


Akawaambia mfano, ya kwamba imewapasa kumwomba Mungu sikuzote, wala wasikate tamaa.


Msijisumbue kwa neno lolote; bali katika kila neno kwa kusali na kuomba, pamoja na kushukuru, haja zenu na zijulikane na Mungu.


Dumuni sana katika kuomba, mkikesha katika kuomba mkiwa na shukrani;


Tufuate:

Matangazo


Matangazo