Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni
- Matangazo -




Zaburi 116:17 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

17 Nitakutolea dhabihu ya kushukuru; Na kulitangaza jina la BWANA;

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

17 Nitakutolea tambiko za shukrani, na kukupa heshima zangu.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

17 Nitakutolea tambiko za shukrani, na kukupa heshima zangu.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

17 Nitakutolea tambiko za shukrani, na kukupa heshima zangu.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

17 Nitakutolea dhabihu ya kukushukuru na kuliita jina la Mwenyezi Mungu.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

17 Nitakutolea dhabihu ya kukushukuru na kuliita jina la bwana.

Tazama sura Nakili




Zaburi 116:17
8 Marejeleo ya Msalaba  

Na wamtolee dhabihu za kushukuru, Na kuyasimulia matendo yake kwa kuimba.


Nitakipokea kikombe cha wokovu; Na kulitangaza jina la BWANA;


Mtolee Mungu dhabihu za kushukuru; Mtimizie Aliye Juu nadhiri zako.


Kwamba aitoa kwa ajili ya shukrani, ndipo atakaposongeza pamoja na hiyo sadaka ya shukrani mikate isiyotiwa chachu, iliyoandaliwa na mafuta, na mikate ya kaki isiyochachwa iliyopakwa mafuta, na mikate ya unga mwembamba uliolowama mafuta.


Wakawa wakidumu katika fundisho la mitume, na katika ushirika, na katika kuumega mkate, na katika kusali.


wakati huo itakuwa kwamba mahali pale atakapopachagua BWANA, Mungu wenu, alikalishe jina lake, hapo ndipo mtakapoleta kila kitu ninachowaamuru; sadaka zenu za kuteketezwa, na dhabihu zenu, na zaka zenu, na sadaka ya kuinuliwa ya mikono yenu, na nadhiri zenu zote teule mtakazoweka kwa BWANA.


pelekeni huko sadaka zenu za kuteketezwa, na dhabihu zenu, na zaka zenu, na sadaka ya kuinuliwa ya mikono yenu, na nadhiri zenu, na sadaka zenu za hiari, na wazaliwa wa kwanza wa makundi yenu ya ng'ombe na ya kondoo;


Basi, kwa njia yake yeye, na tumpe Mungu dhabihu ya sifa daima, yaani, tunda la midomo iliungamalo jina lake.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo