Zaburi 116:17 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC17 Nitakutolea dhabihu ya kushukuru; Na kulitangaza jina la BWANA; Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema17 Nitakutolea tambiko za shukrani, na kukupa heshima zangu. Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND17 Nitakutolea tambiko za shukrani, na kukupa heshima zangu. Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza17 Nitakutolea tambiko za shukrani, na kukupa heshima zangu. Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu17 Nitakutolea dhabihu ya kukushukuru na kuliita jina la Mwenyezi Mungu. Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu17 Nitakutolea dhabihu ya kukushukuru na kuliita jina la bwana. Tazama sura |