Zaburi 116:1 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC1 Haleluya. Nampenda BWANA kwa kuwa anaisikiliza Sauti yangu na dua zangu. Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema1 Nampenda Mwenyezi-Mungu, kwa maana anisikia, maana amesikia kilio cha ombi langu. Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND1 Nampenda Mwenyezi-Mungu, kwa maana anisikia, maana amesikia kilio cha ombi langu. Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza1 Nampenda Mwenyezi-Mungu, kwa maana anisikia, maana amesikia kilio cha ombi langu. Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu1 Nampenda Mwenyezi Mungu kwa maana amesikia sauti yangu; amesikia kilio changu ili anihurumie. Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu1 Ninampenda bwana kwa maana amesikia sauti yangu; amesikia kilio changu ili anihurumie. Tazama sura |