Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni
- Matangazo -




Zaburi 116:1 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

1 Haleluya. Nampenda BWANA kwa kuwa anaisikiliza Sauti yangu na dua zangu.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

1 Nampenda Mwenyezi-Mungu, kwa maana anisikia, maana amesikia kilio cha ombi langu.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

1 Nampenda Mwenyezi-Mungu, kwa maana anisikia, maana amesikia kilio cha ombi langu.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

1 Nampenda Mwenyezi-Mungu, kwa maana anisikia, maana amesikia kilio cha ombi langu.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

1 Nampenda Mwenyezi Mungu kwa maana amesikia sauti yangu; amesikia kilio changu ili anihurumie.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

1 Ninampenda bwana kwa maana amesikia sauti yangu; amesikia kilio changu ili anihurumie.

Tazama sura Nakili




Zaburi 116:1
20 Marejeleo ya Msalaba  

Yakobo akawaambia watu wa nyumbani mwake, na wote waliokuwa pamoja naye, Ondoeni miungu migeni iliyoko kwenu, mjisafishe mkabadili nguo zenu.


BWANA akamwambia, Nimeyasikia maombi yako na dua zako, ulizotoa mbele zangu. Nimeitakasa nyumba hii uliyoijenga ili niweke jina langu humo milele; tena macho yangu na moyo wangu utakuwapo hapo siku zote;


Unigeukie na kunirehemu, Kama ilivyo desturi yako kwa walipendalo jina lako.


Na ahimidiwe BWANA. Maana ameisikia sauti ya dua yangu;


Nilimngoja BWANA kwa subira, Akaniinamia na kusikia kilio changu.


Kwa kuwa BWANA huwasikia wahitaji, Wala hawadharau wafungwa wake.


Niseme nini? Yeye amenena nami, na yeye mwenyewe ametenda hayo; Nitakwenda polepole miaka yangu yote, kwa sababu ya uchungu wa nafsi yangu.


Ukaisikia sauti yangu; usifiche sikio lako Ili usisikie pumzi yangu, kwa kilio changu.


Maana ulinitupa vilindini, Ndani ya moyo wa bahari; Gharika ya maji ikanizunguka pande zote; Mawimbi yako yote na gharika zako zote zimepita juu yangu.


BWANA akasikiza sauti ya Israeli, akawatia Wakanaani mikononi mwao; nao wakawaharibu wao na miji yao kabisa; na jina la mahali hapo likaitwa Horma.


na kumpenda yeye kwa moyo wote, na kwa ufahamu wote, na kwa nguvu zote, na kumpenda jirani kama nafsi yako, kwafaa kuliko sadaka nzima za kuteketezwa na dhabihu zote pia.


Hata sasa hamjaomba neno kwa jina langu; ombeni, nanyi mtapata; furaha yenu iwe timilifu.


Akamwambia mara ya tatu, Simoni wa Yohana, wanipenda? Petro alihuzunika kwa vile alivyomwambia mara ya tatu, Wanipenda? Akamwambia, Bwana, wewe wajua yote; wewe umetambua ya kuwa nakupenda. Yesu akamwambia, Lisha kondoo wangu.


Sisi tunapenda kwa maana yeye alitupenda sisi kwanza.


Akasema, Ee bwana wangu, kama iishivyo roho yako, bwana wangu, mimi ndimi yule mwanamke aliyesimama karibu nawe hapa, nikimwomba BWANA.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo