Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni
- Matangazo -




Zaburi 115:17 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

17 Wafu hawamsifu Mungu BWANA, Wala yeyote ashukaye kwenye kimya;

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

17 Wafu hawamsifu Mwenyezi-Mungu, wala wale wanaoshuka katika nchi ya kimya.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

17 Wafu hawamsifu Mwenyezi-Mungu, wala wale wanaoshuka katika nchi ya kimya.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

17 Wafu hawamsifu Mwenyezi-Mungu, wala wale wanaoshuka katika nchi ya kimya.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

17 Sio wafu wanaomsifu Mwenyezi Mungu, wale wanaoshuka mahali pa kimya,

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

17 Sio wafu wanaomsifu bwana, wale washukao mahali pa kimya,

Tazama sura Nakili




Zaburi 115:17
7 Marejeleo ya Msalaba  

Mna faida gani katika damu yangu Nishukapo Shimoni? Mavumbi yatakusifu? Yatautangaza uaminifu wako?


Ee BWANA, nisiaibishwe, maana nimekuita; Waaibishwe wasio haki, wanyamaze kuzimuni.


Maana mautini hapana kumbukumbu lako; Katika kuzimu ni nani atakayekushukuru?


Nimechoka kwa kuugua kwangu; Kila usiku nakibubujikia kitanda changu; Nililowesha godoro langu kwa machozi yangu.


Yeye atailinda miguu ya watakatifu wake; Bali waovu watanyamazishwa gizani, Maana kwa nguvu hakuna atakayeshinda;


Tufuate:

Matangazo


Matangazo