Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni

- Matangazo -




Zaburi 114:2 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

2 Yuda ilikuwa patakatifu pake, Israeli milki yake.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

2 Yuda ikawa maskani ya Mungu, Israeli ikawa milki yake.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

2 Yuda ikawa maskani ya Mungu, Israeli ikawa milki yake.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

2 Yuda ikawa maskani ya Mungu, Israeli ikawa milki yake.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

2 Yuda alifanywa makao matakatifu ya Mungu, Israeli akawa milki yake.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

2 Yuda alifanywa makao matakatifu ya Mungu, Israeli akawa milki yake.

Tazama sura Nakili




Zaburi 114:2
14 Marejeleo ya Msalaba  

Utawaingiza, na kuwapanda katika mlima wa urithi wako, Mahali pale ulipojifanyia, Ee BWANA, ili upakae, Pale patakatifu ulipopaweka imara, BWANA, kwa mikono yako.


Nao na wanifanyie patakatifu; ili nipate kukaa kati yao.


nami nitawatwaeni kuwa watu wangu, nitakuwa Mungu kwenu; nanyi mtajua ya kuwa mimi ni YEHOVA, Mungu wenu, niwakomboaye mtoke chini ya mizigo ya Wamisri.


Kwa kuwa mimi ni BWANA niliyewaleta kutoka nchi ya Misri, ili kwamba niwe Mungu wenu; basi mtakuwa watakatifu, kwa kuwa mimi ni Mtakatifu.


kwa kuwa BWANA. Mungu wako, yuatembea katika kituo akuokoe, na kukutolea adui zako mbele yako; kwa hiyo na kiwe kitakatifu kituo chako; asije akaona kitu kwako kisichokuwa safi, akageuka na kukuacha.


Hawa na wasimame juu ya mlima wa Gerizimu kwa kuwabarikia watu, mkiisha vuka Yordani; Simeoni, na Lawi, na Yuda, na Isakari, na Yusufu, na Benyamini;


Musa na makuhani Walawi wakawaambia Israeli wote wakasema, Nyamaza, usikize, Ee Israeli; leo umekuwa watu wa BWANA, Mungu wako.


Kwa maana wewe u taifa takatifu kwa BWANA, Mungu wako; BWANA Mungu wako, amekuchagua kuwa watu wake hasa, zaidi ya mataifa yote walioko juu ya uso wa nchi.


Nikasikia sauti kubwa kutoka katika kile kiti cha enzi ikisema, Tazama, maskani ya Mungu ni pamoja na wanadamu, naye atafanya maskani yake pamoja nao, nao watakuwa watu wake. Naye Mungu mwenyewe atakuwa pamoja nao.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo