Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni

- Matangazo -




Zaburi 114:1 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

1 Haleluya. Israeli alipotoka Misri, Na Yakobo katika watu wa lugha ya kigeni.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

1 Watu wa Israeli walipotoka Misri, wazawa wa Yakobo walipotoka ugenini,

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

1 Watu wa Israeli walipotoka Misri, wazawa wa Yakobo walipotoka ugenini,

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

1 Watu wa Israeli walipotoka Misri, wazawa wa Yakobo walipotoka ugenini,

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

1 Israeli alipotoka Misri, nyumba ya Yakobo kutoka kwa watu wa lugha ngeni,

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

1 Wakati Israeli walipotoka Misri, nyumba ya Yakobo kutoka kwa watu wa lugha ngeni,

Tazama sura Nakili




Zaburi 114:1
10 Marejeleo ya Msalaba  

Wala hawakujua ya kwamba Yusufu anawasikia, kwa sababu alizungumza nao kupitia kwa mkalimani.


Aliamuru iwe ushuhuda katika Yusufu, Alipoondoka juu ya nchi ya Misri; Maneno yake nisiyemjua niliyasikia.


Nimeutua mzigo begani mwake; Mikono yake nikaiondolea kazi nzito.


Ilikuwa siku ile ile moja, BWANA akawatoa wana wa Israeli katika nchi ya Misri kwa majeshi yao.


Musa akawaambia hao watu, Kumbukeni siku hii, mliyotoka nchi ya Misri, kutoka nyumba ya utumwa; kwa kuwa BWANA aliwatoa mahali hapa kwa nguvu za mkono wake; na usiliwe mkate uliochachwa.


Mimi ni BWANA, Mungu wako, niliyekutoa katika nchi ya Misri, katika nyumba ya utumwa.


Itakuwako njia kuu kwa mabaki ya watu wake watakaobaki, watokao Ashuru, kama vile ilivyokuwako kwa Israeli, katika siku ile waliyotoka katika nchi ya Misri.


Utunze mwezi wa Abibu, ukamfanyie Pasaka BWANA, Mungu wako, kwa kuwa ilikuwa ni mwezi wa Abibu alipokutoa Misri usiku BWANA; Mungu wako.


BWANA akatutoa kutoka Misri kwa mkono wa nguvu, na kwa mkono ulionyoshwa, na kwa utisho mwingi, na kwa ishara, na kwa maajabu;


Tufuate:

Matangazo


Matangazo