Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni

- Matangazo -




Zaburi 113:3 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

3 Toka maawio ya jua hata machweo yake Jina la BWANA husifiwa.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

3 Kutoka mashariki na hata magharibi, litukuzwe jina la Mwenyezi-Mungu!

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

3 Kutoka mashariki na hata magharibi, litukuzwe jina la Mwenyezi-Mungu!

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

3 Kutoka mashariki na hata magharibi, litukuzwe jina la Mwenyezi-Mungu!

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

3 Kuanzia mawio ya jua hadi machweo yake, jina la Mwenyezi Mungu linapaswa kusifiwa.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

3 Kuanzia mawio ya jua hadi machweo yake, jina la bwana linapaswa kusifiwa.

Tazama sura Nakili




Zaburi 113:3
14 Marejeleo ya Msalaba  

Namwita BWANA astahiliye kusifiwa, Hivyo nitaokoka na adui zangu.


Kama lilivyo jina lako, Ee Mungu, Ndivyo na sifa yako hadi miisho ya dunia. Mkono wako wa kulia umejaa haki;


Mungu, Mungu BWANA, amenena, ameiita nchi, Toka maawio ya jua hadi machweo yake.


Naam, wafalme wote na wamsujudie; Na mataifa yote wamtumikie.


Mataifa yote uliyoyaumba watakuja; Watakusujudia Wewe, Bwana, Watalitukuza jina lako;


Toka pande za mwisho wa dunia tumesikia nyimbo, Atukuzwe mwenye haki. Ndipo niliposema, Kukonda kwangu! Kukonda kwangu! Ole wangu! Watenda hila wametenda hila, naam, watendao hila wametenda hila sana.


Imbeni, enyi mbingu; ufurahi, Ee nchi; Pazeni sauti ya kuimba, enyi milima; Kwa kuwa BWANA amewafariji watu wake, Naye atawahurumia watu wake walioteswa.


Basi, wataliogopa jina la BWANA toka magharibi, na utukufu wake toka maawio ya jua; maana yeye atakuja kama mkondo wa mto ufurikao, uendeshwao kwa pumzi ya BWANA.


Kwa maana dunia itajazwa maarifa ya utukufu wa BWANA, kama maji yaifunikavyo bahari.


Kwa maana tokea maawio ya jua hata machweo yake jina langu ni kuu katika mataifa; na katika kila mahali unatolewa uvumba na dhabihu safi kwa jina langu; maana jina langu ni kuu katika mataifa, asema BWANA wa majeshi.


Malaika wa saba akapiga baragumu, pakawa na sauti kuu katika mbingu, zikisema, Ufalme wa dunia umekwisha kuwa ufalme wa Bwana wetu na wa Kristo wake, naye atamiliki hata milele na milele.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo