Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni

- Matangazo -




Zaburi 113:2 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

2 Jina la BWANA lihimidiwe Tangu leo na hata milele.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

2 Jina lake litukuzwe, sasa na hata milele.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

2 Jina lake litukuzwe, sasa na hata milele.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

2 Jina lake litukuzwe, sasa na hata milele.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

2 Jina la Mwenyezi Mungu na lisifiwe, sasa na hata milele.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

2 Jina la bwana na lisifiwe, sasa na hata milele.

Tazama sura Nakili




Zaburi 113:2
8 Marejeleo ya Msalaba  

Na ahimidiwe BWANA, Mungu wa Israeli, tangu milele hata milele. Na watu wote wakasema, Amina; wakamhimidi BWANA.


Na ahimidiwe BWANA, Mungu wa Israeli, Tangu milele hata milele. Watu wote na waseme, Amina. Haleluya.


Bali sisi tutamhimidi BWANA, Tangu leo na hata milele.


Na atukuzwe BWANA, Mungu wa Israeli, Tangu milele hata milele. Amina na Amina.


Danieli akajibu, akasema, Na lihimidiwe jina la Mungu milele na milele; kwa kuwa hekima na uweza ni wake.


naam, atukuzwe katika kanisa na katika Kristo Yesu hata vizazi vyote vya milele na milele. Amina.


Na kila kiumbe kilichoko mbinguni na juu ya nchi na chini ya nchi na juu ya bahari, na vitu vyote vilivyomo ndani yake, nilivisikia, vikisema, Baraka na heshima na utukufu na uweza una yeye aketiye juu ya kiti cha enzi, na kwake Mwana-kondoo, hata milele na milele.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo