Zaburi 113:1 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC1 Haleluya. Enyi watumishi wa BWANA, sifuni, Lisifuni jina la BWANA. Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema1 Msifuni Mwenyezi-Mungu! Enyi watumishi wa Mwenyezi-Mungu, lisifuni jina lake! Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND1 Msifuni Mwenyezi-Mungu! Enyi watumishi wa Mwenyezi-Mungu, lisifuni jina lake! Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza1 Msifuni Mwenyezi-Mungu! Enyi watumishi wa Mwenyezi-Mungu, lisifuni jina lake! Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu1 Msifuni Mwenyezi Mungu. Enyi watumishi wa Mwenyezi Mungu msifuni, lisifuni jina la Mwenyezi Mungu. Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu1 Msifuni bwana. Enyi watumishi wa bwana msifuni, lisifuni jina la bwana. Tazama sura |