Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni

- Matangazo -




Zaburi 113:1 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

1 Haleluya. Enyi watumishi wa BWANA, sifuni, Lisifuni jina la BWANA.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

1 Msifuni Mwenyezi-Mungu! Enyi watumishi wa Mwenyezi-Mungu, lisifuni jina lake!

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

1 Msifuni Mwenyezi-Mungu! Enyi watumishi wa Mwenyezi-Mungu, lisifuni jina lake!

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

1 Msifuni Mwenyezi-Mungu! Enyi watumishi wa Mwenyezi-Mungu, lisifuni jina lake!

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

1 Msifuni Mwenyezi Mungu. Enyi watumishi wa Mwenyezi Mungu msifuni, lisifuni jina la Mwenyezi Mungu.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

1 Msifuni bwana. Enyi watumishi wa bwana msifuni, lisifuni jina la bwana.

Tazama sura Nakili




Zaburi 113:1
11 Marejeleo ya Msalaba  

Haleluya. Heri mtu yule amchaye BWANA, Apendezwaye sana na maagizo yake.


Njoni, enyi watumishi wote wa BWANA, Mhimidini BWANA Ninyi mnaohudumu usiku Katika nyumba ya BWANA.


Enyi mlango wa Lawi, mhimidini BWANA; Ninyi mnaomcha BWANA, mhimidini BWANA.


Ee BWANA, kazi zako zote zitakushukuru, Na wacha Mungu wako watakuhimidi.


BWANA huzikomboa nafsi za watumishi wake, Wote wamkimbiliao hawatahukumiwa.


Wazawa wa watumishi wake watairithi, Nao walipendao jina lake watakaa humo.


Sauti ikatoka katika kile kiti cha enzi ikisema, Msifuni Mungu wetu, enyi watumwa wake wote, ninyi mnaomcha, wadogo kwa wakubwa.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo