Zaburi 112:9 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC9 Ametoa kwa ukarimu, na kuwapa maskini, Haki yake yakaa milele, Pembe yake itatukuzwa kwa utukufu. Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema9 Hutoa kwa ukarimu, huwapa maskini; uadilifu wake wadumu milele. Nguvu yake inatukuzwa kwa heshima. Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND9 Hutoa kwa ukarimu, huwapa maskini; uadilifu wake wadumu milele. Nguvu yake inatukuzwa kwa heshima. Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza9 Hutoa kwa ukarimu, huwapa maskini; uadilifu wake wadumu milele. Nguvu yake inatukuzwa kwa heshima. Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu9 Ametawanya vipawa vyake kwa ukarimu akawapa maskini; haki yake hudumu milele; pembe yake itatukuzwa kwa heshima. Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu9 Ametawanya vipawa vyake kwa ukarimu akawapa maskini; haki yake hudumu milele; pembe yake itatukuzwa kwa heshima. Tazama sura |