Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni

- Matangazo -




Zaburi 112:7 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

7 Hataogopa habari mbaya; Moyo wake u imara ukimtumainia BWANA.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

7 Hana haja ya kuogopa akipata habari mbaya; ana moyo thabiti na humtegemea Mwenyezi-Mungu.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

7 Hana haja ya kuogopa akipata habari mbaya; ana moyo thabiti na humtegemea Mwenyezi-Mungu.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

7 Hana haja ya kuogopa akipata habari mbaya; ana moyo thabiti na humtegemea Mwenyezi-Mungu.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

7 Hataogopa habari mbaya, moyo wake ni thabiti, ukimtegemea Mwenyezi Mungu.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

7 Hataogopa habari mbaya, moyo wake ni thabiti, ukimtegemea bwana.

Tazama sura Nakili




Zaburi 112:7
20 Marejeleo ya Msalaba  

Hakika ndipo utakapopata kuinua uso pasipo ila; Naam, utathibitika, wala hutakuwa na hofu;


BWANA yuko upande wangu, sitaogopa; Mwanadamu atanitenda nini?


Nilimtafuta BWANA, naye akanijibu, Akaniokoa kutoka kwa hofu zangu zote.


Ambao wanazitumainia mali zao, Na kujisifia wingi wa utajiri wao;


Ee Mungu, moyo wangu ni thabiti, Moyo wangu ni thabiti. Nitaimba, nitaimba kwa sauti nzuri,


Enyi watu, mtumainini sikuzote, Ifunueni mioyo yenu mbele zake; Mungu ndiye kimbilio letu.


Mwenye haki atamfurahia BWANA na kumkimbilia, Na wote wenye moyo wa adili watasifu.


Bali kila anisikilizaye atakaa salama, Naye atatulia bila kuogopa mabaya.


Ndipo Shadraka, na Meshaki, na Abednego, wakajibu, wakamwambia mfalme, Ee Nebukadneza, hamna haja kukujibu katika neno hili.


Nanyi kwa subira yenu mtaziponya nafsi zenu.


Nanyi mtakaposikia habari za vita na fitina, msitishwe; maana, hayo hayana budi kutukia kwanza, lakini ule mwisho hauji upesi.


Msifadhaike mioyoni mwenu; mnamwamini Mungu, niaminini na mimi.


Lakini siyahesabu maisha yangu kuwa kitu cha thamani kwangu kama kuumaliza mwendo wangu na huduma ile niliyopokea kwa Bwana Yesu, kuishuhudia Habari Njema ya neema ya Mungu.


Ndipo Paulo alipojibu, Mnafanya nini, kulia na kunivunja moyo? Kwa maana mimi, licha ya kufungwa, ni tayari hata kuuawa katika Yerusalemu kwa ajili ya jina lake Bwana Yesu.


Basi, wanaume, changamkeni; kwa sababu namwamini Mungu, ya kwamba yatakuwa vile vile kama nilivyoambiwa.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo