Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni

- Matangazo -




Zaburi 112:6 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

6 Kwa maana hataondoshwa kamwe; Mwenye haki atakumbukwa milele.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

6 Mwadilifu hatashindwa kamwe, huyo atakumbukwa milele.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

6 Mwadilifu hatashindwa kamwe, huyo atakumbukwa milele.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

6 Mwadilifu hatashindwa kamwe, huyo atakumbukwa milele.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

6 Hakika hatatikisika kamwe, mtu mwenye haki atakumbukwa milele.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

6 Hakika hatatikisika kamwe, mtu mwenye haki atakumbukwa milele.

Tazama sura Nakili




Zaburi 112:6
13 Marejeleo ya Msalaba  

Kisha nikawaamuru Walawi wajitakase, nao waje kuyalinda malango, ili kuitakasa siku ya sabato. Unikumbukie hayo nayo, Ee Mungu wangu, ukaniachilie sawasawa na wingi wa rehema zako.


na kuleta kwa kuni na malimbuko, katika nyakati zilizoamriwa. Nikumbuke, Ee Mungu wangu, ili unitendee mema.


Wamtumainio BWANA ni kama mlima Sayuni, Ambao hautikisiki, wakaa milele.


Asiyetoa fedha yake apate kula riba, Asiyepokea rushwa amwangamize asiye na hatia. Mtu atendaye mambo hayo Hataondoshwa milele.


Umtwike BWANA mzigo wako naye atakutegemeza, Hatamwacha mwenye haki aondoshwe milele.


Nawe, Ee Mungu, utawateremsha, Wafikie shimo la uharibifu; Watu wa damu na hila hawataishi nusu ya siku zao, Bali mimi nitakutumaini Wewe.


Yeye tu ndiye mwamba wangu na wokovu wangu, Ngome yangu, sitatikisika.


Yeye tu ndiye mwamba wangu na wokovu wangu, Ngome yangu, sitatikisika.


Mwenye haki hataondolewa milele; Bali wasio haki hawatakaa katika nchi.


Kuwakumbuka wenye haki huwa na baraka; Bali jina la mtu mwovu litaoza.


Maana Mungu si dhalimu hata aisahau kazi yenu, na pendo lile mlilolidhihirisha kwa jina lake, kwa kuwa mmewahudumia watakatifu, na hata hivi sasa mngali mkiwahudumia.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo