Zaburi 112:6 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC6 Kwa maana hataondoshwa kamwe; Mwenye haki atakumbukwa milele. Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema6 Mwadilifu hatashindwa kamwe, huyo atakumbukwa milele. Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND6 Mwadilifu hatashindwa kamwe, huyo atakumbukwa milele. Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza6 Mwadilifu hatashindwa kamwe, huyo atakumbukwa milele. Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu6 Hakika hatatikisika kamwe, mtu mwenye haki atakumbukwa milele. Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu6 Hakika hatatikisika kamwe, mtu mwenye haki atakumbukwa milele. Tazama sura |