Zaburi 112:5 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC5 Heri atendaye fadhili na kukopesha; Atengenezaye mambo yake kwa haki. Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema5 Mtu mkarimu akopeshaye bila faida, hufanikiwa; mtu afanyaye shughuli zake kwa kutumia haki. Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND5 Mtu mkarimu akopeshaye bila faida, hufanikiwa; mtu afanyaye shughuli zake kwa kutumia haki. Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza5 Mtu mkarimu akopeshaye bila faida, hufanikiwa; mtu afanyaye shughuli zake kwa kutumia haki. Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu5 Mema yatamjia mtu yule aliye mkarimu na mwenye kukopesha bila riba, anayefanya mambo yake kwa haki. Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu5 Mema yatamjia mtu yule aliye mkarimu na mwenye kukopesha bila riba, anayefanya mambo yake kwa haki. Tazama sura |