Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni
- Matangazo -




Zaburi 112:2 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

2 Wazawa wake watakuwa hodari duniani; Kizazi cha wenye adili kitabarikiwa.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

2 Wazawa wake watakuwa wenye nguvu nchini; watoto wa wanyofu watapata baraka.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

2 Wazawa wake watakuwa wenye nguvu nchini; watoto wa wanyofu watapata baraka.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

2 Wazawa wake watakuwa wenye nguvu nchini; watoto wa wanyofu watapata baraka.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

2 Watoto wake watakuwa wenye uwezo katika nchi, kizazi cha watu waadilifu kitabarikiwa.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

2 Watoto wake watakuwa wenye uwezo katika nchi, kizazi cha watu waadilifu kitabarikiwa.

Tazama sura Nakili




Zaburi 112:2
12 Marejeleo ya Msalaba  

Agano langu nitalifanya imara kati yangu na wewe, na uzao wako baada yako, na vizazi vyao, kuwa agano la milele, kwamba nitakuwa Mungu kwako na kwa uzao wako baada yako.


Ikawa, baada ya kufa kwake Abrahamu, Mungu akambariki Isaka mwanawe. Naye Isaka akakaa karibu ya Beer-lahai-roi.


Wana wa watumishi wako watakaa, Na wazawa wao wataimarishwa mbele zako.


Watafanikiwa maishani mwao; Na wazawa wao wataimiliki nchi.


Mchana kutwa hufadhili na kukopesha, Na mzao wake hubarikiwa.


Hakika, mtu mwovu hatakosa adhabu; Bali wazawa wa wenye haki wataokoka.


Mtu mwema huwaachia wana wa wanawe urithi; Na mali ya mkosaji huwa akiba kwa mwenye haki.


Mwenye haki aendaye katika unyofu wake, Watoto wake wabarikiwa baada yake.


nami nitawapa moyo mmoja na njia moja, wapate kunicha sikuzote; kwa mema yao, na ya watoto wao baada yao;


na kijiko kimoja cha dhahabu, uzani wake shekeli kumi, kilichojaa uvumba;


Kwa kuwa ahadi hii ni kwa ajili yenu, na kwa watoto wenu, na kwa watu wote walio mbali, na kwa wote watakaoitwa na Bwana Mungu wetu wamjie.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo