Zaburi 112:10 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC10 Asiye haki ataona na kusikitika, Atasaga meno yake na kuondoka, Matumaini ya wasio haki hupotea. Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema10 Watu waovu huona hayo na kuudhika; husaga meno kwa chuki na kutoweka, matazamio ya mtu mbaya huishia patupu. Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND10 Watu waovu huona hayo na kuudhika; husaga meno kwa chuki na kutoweka, matazamio ya mtu mbaya huishia patupu. Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza10 Watu waovu huona hayo na kuudhika; husaga meno kwa chuki na kutoweka, matazamio ya mtu mbaya huishia patupu. Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu10 Mtu mwovu ataona na kuchukizwa, atasaga meno yake na kutoweka, kutamani kwa mtu mwovu kutaishia patupu. Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu10 Mtu mwovu ataona na kuchukizwa, atasaga meno yake na kutoweka, kutamani kwa mtu mwovu kutaishia patupu. Tazama sura |