Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni

- Matangazo -




Zaburi 112:10 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

10 Asiye haki ataona na kusikitika, Atasaga meno yake na kuondoka, Matumaini ya wasio haki hupotea.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

10 Watu waovu huona hayo na kuudhika; husaga meno kwa chuki na kutoweka, matazamio ya mtu mbaya huishia patupu.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

10 Watu waovu huona hayo na kuudhika; husaga meno kwa chuki na kutoweka, matazamio ya mtu mbaya huishia patupu.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

10 Watu waovu huona hayo na kuudhika; husaga meno kwa chuki na kutoweka, matazamio ya mtu mbaya huishia patupu.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

10 Mtu mwovu ataona na kuchukizwa, atasaga meno yake na kutoweka, kutamani kwa mtu mwovu kutaishia patupu.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

10 Mtu mwovu ataona na kuchukizwa, atasaga meno yake na kutoweka, kutamani kwa mtu mwovu kutaishia patupu.

Tazama sura Nakili




Zaburi 112:10
15 Marejeleo ya Msalaba  

Hata Sanbalati, Mhoroni, na Tobia, mtumishi wake, Mwamoni, waliposikia habari hizi, ziliwahuzunisha sana, kwa kuwa amekuja mtu kuwatakia heri wana wa Israeli.


Hata hivyo ataangamia milele kama mavi yake mwenyewe; Hao waliomwona watasema, Yuko wapi?


Ndivyo ulivyo mwisho wa hao wamsahauo Mungu; Na matumaini yake huyo mbaya huangamia;


Asiye haki hunuia mabaya juu ya mwenye haki, Na kumsagia meno yake.


Unifanyie ishara ya wema, Wanichukiao waione na kuaibishwa. Kwa kuwa Wewe, BWANA, Umenisaidia na kunifariji.


Matumaini yao wenye haki yatakuwa furaha; Bali matarajio yao wasio haki yatapotea.


Mtu mwovu atakapokufa, taraja lake linapotea; Na matumaini ya uovu huangamia.


Mfalme akawaambia watumishi, Mfungeni mikono na miguu, mchukueni mkamtupe katika giza la nje; ndiko kutakuwako kilio na kusaga meno.


bali wana wa ufalme watatupwa katika giza la nje, ndiko kutakuwako kilio na kusaga meno.


Ndipo kutakapokuwa na kilio na kusaga meno, mtakapomwona Abrahamu na Isaka na Yakobo na manabii wote katika ufalme wa Mungu, nanyi wenyewe mmetupwa nje.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo