Zaburi 112:1 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC1 Haleluya. Heri mtu yule amchaye BWANA, Apendezwaye sana na maagizo yake. Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema1 Msifuni Mwenyezi-Mungu! Heri mtu anayemcha Mwenyezi-Mungu, anayefurahia sana kutii amri zake. Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND1 Msifuni Mwenyezi-Mungu! Heri mtu anayemcha Mwenyezi-Mungu, anayefurahia sana kutii amri zake. Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza1 Msifuni Mwenyezi-Mungu! Heri mtu anayemcha Mwenyezi-Mungu, anayefurahia sana kutii amri zake. Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu1 Msifuni Mwenyezi Mungu. Heri mtu yule amchaye Mwenyezi Mungu, mtu yule apendezwaye sana na amri zake. Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu1 Msifuni bwana. Heri mtu yule amchaye bwana, mtu yule apendezwaye sana na amri zake. Tazama sura |