Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni

- Matangazo -




Zaburi 111:5 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

5 Amewapa wamchao chakula; Atalikumbuka agano lake milele.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

5 Huwapa chakula wenye kumcha; hasahau kamwe agano lake.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

5 Huwapa chakula wenye kumcha; hasahau kamwe agano lake.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

5 Huwapa chakula wenye kumcha; hasahau kamwe agano lake.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

5 Huwapa chakula wale wanaomcha, hulikumbuka agano lake milele.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

5 Huwapa chakula wale wanaomcha, hulikumbuka agano lake milele.

Tazama sura Nakili




Zaburi 111:5
13 Marejeleo ya Msalaba  

nikasema, Nakusihi, Ee BWANA, Mungu wa mbinguni, Mungu mkuu, mwenye kuogofya, mwenye kutimiza agano lake na rehema zake kwa hao wampendao na kuzishika amri zake;


Analikumbuka agano lake milele; Neno lile aliloviamuru vizazi elfu.


Akawakumbukia agano lake; Akawahurumia kwa wingi wa fadhili zake;


Tazama, jicho la BWANA li kwao wamchao, Wazingojeao fadhili zake.


Ili kuwaponya nafsi zao kutoka kwa mauti, Na kuwahuisha wakati wa njaa.


Umtumaini BWANA ukatende mema, Ukae katika nchi, upendezwe na uaminifu.


Mimi sitalivunja agano langu, Sitalibadili neno lililotoka midomoni mwangu.


Huyu ndiye atakayekaa juu; majabali ni ngome yake; atapewa chakula chake; maji yake hayatakoma.


Nikamwomba BWANA, Mungu wangu, nikaungama, nikasema, Ee Bwana, Mungu mkuu, mwenye kutisha, ashikaye maagano na rehema kwao wampendao, na kuzishika amri zake;


Ili kuwatendea rehema baba zetu, Na kulikumbuka agano lake takatifu;


kwa maana, hayo yote ndiyo watafutayo mataifa ya duniani, lakini Baba yenu anajua ya kuwa mna haja na hayo.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo