Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni

- Matangazo -




Zaburi 111:2 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

2 Matendo ya BWANA ni makuu, Yafikiriwa sana na wapendezwao nayo.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

2 Matendo ya Mwenyezi-Mungu ni makuu mno! Wote wanaoyafurahia huyatafakari.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

2 Matendo ya Mwenyezi-Mungu ni makuu mno! Wote wanaoyafurahia huyatafakari.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

2 Matendo ya Mwenyezi-Mungu ni makuu mno! Wote wanaoyafurahia huyatafakari.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

2 Kazi za Mwenyezi Mungu ni kuu, wote wanaopendezwa nazo huzitafakari.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

2 Kazi za bwana ni kuu, wote wanaopendezwa nazo huzitafakari.

Tazama sura Nakili




Zaburi 111:2
28 Marejeleo ya Msalaba  

Sikiliza neno hili, Ee Ayubu; Simama kimya, uzifikiri kazi za Mungu za ajabu.


Huufunga mkono wa kila binadamu; Ili watu wote aliowaumba wajue.


Yeye afanyaye mambo makuu, yasiyotambulikana; Mambo ya ajabu yasiyo na hesabu;


Atendaye mambo makuu yasiyochunguzika; Naam, mambo ya ajabu yasiyohesabika.


Ee BWANA, jinsi yalivyo mengi matendo yako! Kwa hekima umevifanya vyote pia. Dunia imejaa viumbe wako.


Kutafakari kwangu na kuwe kutamu kwake; Maana furaha yangu hutoka kwa BWANA.


Aliye na hekima na ayaangalie hayo; Na wazitafakari fadhili za BWANA.


Sauti ya furaha na wokovu Imo hemani mwao wenye haki; Mkono wa kulia wa BWANA hutenda makuu.


Nitakushukuru kwa kuwa nimeumbwa Kwa njia ya ajabu ya kutisha. Matendo yako ni ya ajabu, Na nafsi yangu yajua sana,


Nimezikumbuka siku za kale, Nimeyatafakari matendo yako yote, Naziwaza kazi za mikono yako.


Nini maana yake, mpumbavu kuwa na fedha mkononi mwake ya kununulia hekima, Ikiwa hana moyo wa ufahamu?


Basi utaijua hekima kuwa tamu kwa nafsi yako; Ikiwa umekwisha kuiona; Ndipo itakapofuata thawabu; Wala tumaini lako halitabatilika.


Kila kitu amekifanya kizuri kwa wakati wake; tena ameiweka hiyo milele ndani ya mioyo yao; ila kwa jinsi mwanadamu asivyoweza kuivumbua kazi ya Mungu anayoifanya, tangu mwanzo hata mwisho.


Ni nani aliyeyapima maji kwa konzi ya mkono wake, na kuzikadiria mbingu kwa shubiri, na kuyashika mavumbi ya dunia katika pishi, na kuipima milima kwa uzani, na vilima kama kwa mizani?


Ishara zake ni kubwa kama nini! Na maajabu yake yana uweza kama nini! Ufalme wake ni ufalme wa milele; na mamlaka yake ni ya kizazi hata kizazi.


Na kama walivyokataa kuwa na Mungu katika fahamu zao, Mungu aliwaacha wafuate akili zao zisizofaa, wayafanye yasiyowapasa.


Kwa kuwa nia ya mwili ni mauti; bali nia ya roho ni uzima na amani.


na ubora wa ukuu wa uweza wake ndani yetu tuaminio jinsi ulivyo; kwa kadiri ya utendaji wa nguvu za uweza wake;


Nao wauimba wimbo wa Musa, mtumwa wa Mungu, na wimbo wa Mwana-kondoo, wakisema, Ni makuu, na ya ajabu, matendo yako, Ee Bwana Mungu Mwenyezi; Ni za haki, na za kweli, njia zako, Ee Mfalme wa mataifa.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo