Zaburi 11:6 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC6 Awanyeshee wasio haki mitego, Moto na kiberiti na upepo wa joto Na viwe fungu la kikombe chao. Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema6 Atawanyeshea waovu makaa ya moto na madini ya kiberiti; upepo wa hari utakuwa ndio adhabu yao. Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND6 Atawanyeshea waovu makaa ya moto na madini ya kiberiti; upepo wa hari utakuwa ndio adhabu yao. Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza6 Atawanyeshea waovu makaa ya moto na madini ya kiberiti; upepo wa hari utakuwa ndio adhabu yao. Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu6 Atawanyeshea waovu makaa ya moto mkali na kiberiti kinachowaka; upepo wenye joto kali ndio fungu lao. Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu6 Atawanyeshea waovu makaa ya moto mkali na kiberiti kinachowaka, upepo wenye joto kali ndio fungu lao. Tazama sura |