Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni
- Matangazo -




Zaburi 11:3 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

3 Kama misingi ikiharibika, Mwenye haki atafanya nini?

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

3 Kama misingi ikiharibiwa, mtu mwadilifu atafanya nini?”

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

3 Kama misingi ikiharibiwa, mtu mwadilifu atafanya nini?”

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

3 Kama misingi ikiharibiwa, mtu mwadilifu atafanya nini?”

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

3 Wakati misingi imeharibiwa, mwenye haki anaweza kufanya nini?”

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

3 Wakati misingi imeharibiwa, mwenye haki anaweza kufanya nini?”

Tazama sura Nakili




Zaburi 11:3
15 Marejeleo ya Msalaba  

Lakini mwenye haki ataishika njia yake, Naye mwenye mikono safi atazidi kupata nguvu.


Ingawa dunia na wote wakaao humo wataharuki, Mimi mwenyewe nimezisimamisha nguzo zake.


Hawajui wala hawafahamu, hutembea gizani; Misingi yote ya nchi imetikisika.


Na watu wako watapajenga mahali palipokuwa ukiwa; utaiinua misingi ya vizazi vingi; nawe utaitwa, Mwenye kutengeneza mahali palipobomoka; na, Mwenye kurejesha njia za kukaa.


Lakini msingi wa Mungu ulio imara umesimama, wenye mhuri huu, Bwana awajua walio wake. Na tena, Kila aliitaye jina la Bwana na auache uovu.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo