Zaburi 109:7 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC7 Katika kuhukumiwa ataonekana hana haki, Na sala yake itadhaniwa kuwa ni dhambi. Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema7 Anapohukumiwa apatikane na hatia; lalamiko lake lihesabiwe kuwa kosa jingine. Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND7 Anapohukumiwa apatikane na hatia; lalamiko lake lihesabiwe kuwa kosa jingine. Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza7 Anapohukumiwa apatikane na hatia; lalamiko lake lihesabiwe kuwa kosa jingine. Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu7 Anapohukumiwa, apatikane na hatia, nayo maombi yake yamhukumu. Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu7 Anapohukumiwa, apatikane na hatia, nayo maombi yake yamhukumu. Tazama sura |
Yeye achinjaye ng'ombe ni kama yeye amwuaye mtu; na yeye atoaye dhabihu ya mwana-kondoo ni kama yeye avunjaye shingo ya mbwa; na yeye atoaye matoleo ni kama yeye atoaye damu ya nguruwe; na yeye afukizaye uvumba ni kama yeye abarikiye sanamu; naam, wamezichagua njia zao wenyewe, na nafsi zao zafurahia machukizo yao.