Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni

- Matangazo -




Zaburi 109:7 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

7 Katika kuhukumiwa ataonekana hana haki, Na sala yake itadhaniwa kuwa ni dhambi.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

7 Anapohukumiwa apatikane na hatia; lalamiko lake lihesabiwe kuwa kosa jingine.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

7 Anapohukumiwa apatikane na hatia; lalamiko lake lihesabiwe kuwa kosa jingine.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

7 Anapohukumiwa apatikane na hatia; lalamiko lake lihesabiwe kuwa kosa jingine.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

7 Anapohukumiwa, apatikane na hatia, nayo maombi yake yamhukumu.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

7 Anapohukumiwa, apatikane na hatia, nayo maombi yake yamhukumu.

Tazama sura Nakili




Zaburi 109:7
9 Marejeleo ya Msalaba  

Sadaka ya mtu mbaya ni chukizo kwa BWANA; Bali maombi ya mtu mnyofu ni furaha yake.


Sadaka ya wasio haki ni chukizo; Si zaidi sana ailetapo mwenye nia mbaya!


Yeye aligeuzaye sikio lake asiisikie sheria, Hata sala yake ni chukizo.


Nanyi mkunjuapo mikono yenu, nitaficha macho yangu nisiwaone; naam, mwombapo maombi mengi, sitasikia; mikono yenu imejaa damu.


Yeye achinjaye ng'ombe ni kama yeye amwuaye mtu; na yeye atoaye dhabihu ya mwana-kondoo ni kama yeye avunjaye shingo ya mbwa; na yeye atoaye matoleo ni kama yeye atoaye damu ya nguruwe; na yeye afukizaye uvumba ni kama yeye abarikiye sanamu; naam, wamezichagua njia zao wenyewe, na nafsi zao zafurahia machukizo yao.


Ole wenu Waandishi na Mafarisayo, wanafiki! Kwa kuwa mnawafungia watu ufalme wa mbinguni; ninyi wenyewe hamwingii, wala wanaoingia hamwaachi waingie.


Basi twajua ya kuwa mambo yote inenayo torati huyanena kwa hao walio chini ya torati, ili kila kinywa kifumbwe, na ulimwengu wote uwe chini ya hukumu ya Mungu;


Kwa maana wale wote walio wa matendo ya sheria, wako chini ya laana; maana imeandikwa, Amelaaniwa kila mtu asiyedumu katika yote yaliyoandikwa katika kitabu cha Torati, ayafanye.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo