Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni

- Matangazo -




Zaburi 109:6 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

6 Umweke mtu mkorofi juu yake, Mshitaki na asimame kulia kwake.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

6 Umweke hakimu mbaya dhidi ya adui yangu; na mshtaki wake ampeleke mahakamani.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

6 Umweke hakimu mbaya dhidi ya adui yangu; na mshtaki wake ampeleke mahakamani.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

6 Umweke hakimu mbaya dhidi ya adui yangu; na mshtaki wake ampeleke mahakamani.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

6 Agiza mtu mwovu ampinge, mshtaki asimame mkono wake wa kuume.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

6 Agiza mtu mwovu ampinge, mshtaki asimame mkono wake wa kuume.

Tazama sura Nakili




Zaburi 109:6
5 Marejeleo ya Msalaba  

Kisha akanionesha Yoshua, kuhani mkuu, amesimama mbele ya malaika wa BWANA, na Shetani amesimama mkono wake wa kulia ili kushindana naye.


Wakasema, Basi, haya yatuhusu nini sisi? Yaangalie haya wewe mwenyewe.


Patana na mshitaki wako upesi, wakati uwapo pamoja naye njiani; yule mshitaki asije akakupeleka kwa hakimu, na hakimu akakupeleka kwa askari, ukatupwa gerezani.


Hata wakati wa chakula cha jioni; naye Ibilisi amekwisha kumtia Yuda, mwana wa Simoni Iskarioti, moyo wa kumsaliti;


Na baada ya hilo tonge Shetani alimwingia. Basi Yesu akamwambia, Uyatendayo yatende upesi.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo