Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni
- Matangazo -




Zaburi 109:3 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

3 Naam, kwa maneno ya chuki wamenizunguka, Wamepigana nami bure.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

3 Wanasema maovu juu yangu, na kunishambulia bila kisa.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

3 Wanasema maovu juu yangu, na kunishambulia bila kisa.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

3 Wanasema maovu juu yangu, na kunishambulia bila kisa.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

3 Wamenizunguka kwa maneno ya chuki, wananishambulia bila sababu.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

3 Wamenizunguka kwa maneno ya chuki, wananishambulia bila sababu.

Tazama sura Nakili




Zaburi 109:3
14 Marejeleo ya Msalaba  

Absalomu alipokuwa akitoa dhabihu alituma Ahithofeli Mgiloni, Mshauri wake Daudi, aitwe kutoka mji wake, yaani, Gilo. Njama zao zikawa na nguvu; maana watu waliokuwa pamoja na Absalomu walizidi kuongezeka.


Wamenifuatia; na sasa wananizunguka, Na kuyakaza macho yao watuangushe chini.


Mafahali wengi wamenizunguka, Walio hodari wa Bashani wamenisonga;


Walio adui zangu bure wasinisimange, Wanaonichukia bila sababu wasining'ong'e.


Maana hawasemi maneno ya amani, Ila juu ya watulivu wa nchi huwaza hila.


Maana bila sababu wamenifichia wavu, Bila sababu wameichimbia shimo nafsi yangu.


Wanaonichukia bure ni wengi Kuliko nywele za kichwa changu. Watakao kunikatilia mbali ni wengi, Adui zangu kwa sababu isiyo kweli. Hata mimi nililipishwa kwa nguvu Vitu nisivyovichukua.


Yamenizunguka kama mafuriko mchana kutwa, Yamenisonga kwa kila upande.


Efraimu amenizunguka kwa maneno ya uongo, na nyumba ya Israeli kwa udanganyifu; na Yuda hata sasa anasitasita kwa Mungu, na kwake aliye Mtakatifu, naye ni mwaminifu.


Akasema, Bwana wangu ananiwinda mimi mtumishi wake kwa sababu gani? Nimefanya nini mimi? Ni uovu gani nilio nao mkononi mwangu?


Tufuate:

Matangazo


Matangazo