Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni
- Matangazo -




Zaburi 109:22 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

22 Kwa maana mimi ni mnyonge na mhitaji, Na moyo wangu umejeruhiwa ndani yangu.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

22 Mimi ni maskini na fukara; nimejeruhiwa mpaka moyoni mwangu.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

22 Mimi ni maskini na fukara; nimejeruhiwa mpaka moyoni mwangu.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

22 Mimi ni maskini na fukara; nimejeruhiwa mpaka moyoni mwangu.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

22 Maana mimi ni maskini na mhitaji, moyo wangu umejeruhiwa ndani yangu.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

22 Maana mimi ni maskini na mhitaji, moyo wangu umejeruhiwa ndani yangu.

Tazama sura Nakili




Zaburi 109:22
15 Marejeleo ya Msalaba  

Naye alipofika kwa yule mtu wa Mungu kilimani, alimshika miguu. Gehazi akakaribia amwondoe; lakini mtu wa Mungu akamwambia, Mwache; maana roho yake ndani yake ina uchungu; na BWANA amenificha, wala hakuniambia.


Kwa kuwa mishale ya huyo Mwenyezi iko ndani yangu, Na roho yangu inainywa sumu yake; Vitisho vya Mungu vimejipanga juu yangu.


Moyo wangu umepigwa kama majani na kukauka, Naam, ninasahau kula chakula changu.


Kwa kuwa hakukumbuka kutenda fadhili, Bali alimfukuza mnyonge na mhitaji, Hata akamwua mtu aliyevunjika moyo,


Lakini mimi ni mdudu wala si mtu, Nimedharauliwa na kupuuzwa na watu.


Uniangalie na kunifadhili, Maana mimi ni mkiwa na mteswa.


Nami ni maskini na mhitaji, Bwana atanitunza. Ndiwe msaada wangu na mwokozi wangu, Ee Mungu wangu, usikawie.


Ee BWANA, utege sikio lako unijibu, Maana mimi ni maskini na mhitaji.


Alidharauliwa na kukataliwa na watu; Mtu wa huzuni nyingi, ajuaye sikitiko; Na kama mtu ambaye watu humficha nyuso zao, Alidharauliwa wala hatukumhesabu kuwa kitu.


Yesu akamwambia, Mbweha wana pango, na ndege wa angani wana viota; lakini Mwana wa Adamu hana pa kulaza kichwa chake.


Naye kwa vile alivyokuwa katika dhiki, akazidi sana kuomba; jasho yake ikawa kama matone ya damu yakidondoka nchini.]


Sasa roho yangu imefadhaika; nami nisemeje? Baba, uniokoe katika saa hii? Lakini ni kwa ajili ya hayo nilivyoifikia saa hii.


Maana mmejua neema ya Bwana wetu Yesu Kristo, jinsi alivyokuwa maskini kwa ajili yenu, ingawa alikuwa tajiri, ili kwamba ninyi mpate kuwa matajiri kwa umaskini wake.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo