Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni
- Matangazo -




Zaburi 109:2 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

2 Kwa maana vinywa viovu na vyenye hila vimefumbuliwa juu yangu, Vikinisema kwa ulimi wa uongo, Wamesema nami kwa ulimi wa uongo.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

2 Watu waovu na wadanganyifu wanishambulia, wanasema uongo dhidi yangu.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

2 Watu waovu na wadanganyifu wanishambulia, wanasema uongo dhidi yangu.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

2 Watu waovu na wadanganyifu wanishambulia, wanasema uongo dhidi yangu.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

2 kwa maana watu waovu na wadanganyifu wamefungua vinywa vyao dhidi yangu; wasema dhidi yangu kwa ndimi za udanganyifu.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

2 kwa maana watu waovu na wadanganyifu wamefungua vinywa vyao dhidi yangu; wasema dhidi yangu kwa ndimi za udanganyifu.

Tazama sura Nakili




Zaburi 109:2
16 Marejeleo ya Msalaba  

Kwa sababu hakika niliibwa kutoka nchi ya Waebrania, wala hapa sikutenda jambo lolote hata wanitie gerezani.


Zaidi ya hayo Ahithofeli akamwambia Absalomu, Niache nichague watu elfu kumi na mbili, nami nitaondoka na kumfuatia Daudi usiku huu;


Wamenoa ndimi zao na kuwa kama za nyoka, Na katika midomo yao mna sumu ya fira.


Maana nimesikia wengi wakinong'onezana; Hofu katika pande zote. Waliposhauriana juu yangu, Walipanga kunitoa uhai wangu.


Midomo ya uongo iwe na ububu, Imneneayo mwenye haki maneno ya kiburi, Kwa majivuno na dharau.


Umependa maneno yote ya kupoteza watu, Ewe ulimi wenye hila.


Mdomo wa kweli utathibitishwa milele; Bali ulimi wa uongo ni wa kitambo tu.


Moyo wa mwenye haki hufikiri jinsi atakavyojibu; Bali kinywa cha wasio haki humwaga mabaya.


Macho ya kiburi, ulimi wa uongo, Na mikono imwagayo damu isiyo na hatia;


Huupinda ulimi wao, kana kwamba ni upinde, ili kusema uongo; nao wamepata nguvu katika nchi, lakini si katika uaminifu; maana huendelea toka ubaya hata ubaya, wala hawanijui mimi, asema BWANA.


Nao watadanganya kila mtu jirani yake, wala hawatasema kweli; wameuzoesha ulimi wao kusema uongo; hujidhoofisha ili kutenda uovu.


Wakasimamisha mashahidi wa uongo waliosema, Mtu huyu haachi kusema maneno ya kufuru juu ya mahali hapa patakatifu na juu ya torati;


Tufuate:

Matangazo


Matangazo