Zaburi 109:2 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC2 Kwa maana vinywa viovu na vyenye hila vimefumbuliwa juu yangu, Vikinisema kwa ulimi wa uongo, Wamesema nami kwa ulimi wa uongo. Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema2 Watu waovu na wadanganyifu wanishambulia, wanasema uongo dhidi yangu. Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND2 Watu waovu na wadanganyifu wanishambulia, wanasema uongo dhidi yangu. Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza2 Watu waovu na wadanganyifu wanishambulia, wanasema uongo dhidi yangu. Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu2 kwa maana watu waovu na wadanganyifu wamefungua vinywa vyao dhidi yangu; wasema dhidi yangu kwa ndimi za udanganyifu. Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu2 kwa maana watu waovu na wadanganyifu wamefungua vinywa vyao dhidi yangu; wasema dhidi yangu kwa ndimi za udanganyifu. Tazama sura |