Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni

- Matangazo -




Zaburi 109:19 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

19 Na iwe kwake kama vazi ajivikalo, Na kama mshipi ajifungao daima.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

19 Laana zimfunike kama nguo, zimzunguke daima kama ukanda.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

19 Laana zimfunike kama nguo, zimzunguke daima kama ukanda.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

19 Laana zimfunike kama nguo, zimzunguke daima kama ukanda.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

19 Na iwe kama joho alilozungushiwa, kama mshipi aliofungiwa daima.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

19 Na iwe kama joho alilozungushiwa, kama mshipi aliofungiwa daima.

Tazama sura Nakili




Zaburi 109:19
4 Marejeleo ya Msalaba  

Alijivika laana kana kwamba ni vazi lake. Ikamwingilia moyoni kama maji, Na kama mafuta mifupani mwake.


Washitaki wangu watavikwa fedheha, Na wavikwe aibu yao kama joho.


Adui zake nitawavika aibu, Bali juu yake taji lake litasitawi.


Waaibishwe, wafedheheshwe pamoja, Wanaoifurahia hali yangu mbaya. Wavikwe aibu na fedheha, Wanaojikuza juu yangu.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo