Zaburi 109:18 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC18 Alijivika laana kana kwamba ni vazi lake. Ikamwingilia moyoni kama maji, Na kama mafuta mifupani mwake. Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema18 Kwake kulaani ni kama kuvaa nguo, basi, laana hizo zimloweshe kama maji, zimwingie mifupani mwake kama mafuta. Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND18 Kwake kulaani ni kama kuvaa nguo, basi, laana hizo zimloweshe kama maji, zimwingie mifupani mwake kama mafuta. Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza18 Kwake kulaani ni kama kuvaa nguo, basi, laana hizo zimloweshe kama maji, zimwingie mifupani mwake kama mafuta. Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu18 Alivaa kulaani kama vazi lake, nayo laana ikamwingia mwilini mwake kama maji, kwenye mifupa yake kama mafuta. Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu18 Alivaa kulaani kama vazi lake, nayo laana ikamwingia mwilini mwake kama maji, kwenye mifupa yake kama mafuta. Tazama sura |