Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni

- Matangazo -




Zaburi 109:13 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

13 Wazawa wake waangamizwe, Jina lao likafutwe katika kizazi cha pili.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

13 Wazawa wake wote wafe; jina lake lisahauliwe katika kizazi kijacho!

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

13 Wazawa wake wote wafe; jina lake lisahauliwe katika kizazi kijacho!

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

13 Wazawa wake wote wafe; jina lake lisahauliwe katika kizazi kijacho!

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

13 Uzao wake na ukatiliwe mbali, majina yao yafutike katika kizazi kifuatacho.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

13 Uzao wake na ukatiliwe mbali, majina yao yafutike katika kizazi kifuatacho.

Tazama sura Nakili




Zaburi 109:13
17 Marejeleo ya Msalaba  

Ikawa, alipoanza kutawala, mara alipoketi juu ya kiti chake cha enzi, akawaua nyumba yote ya Baasha; hakumwachia mwanamume yeyote, wa jamaa zake, wala wa rafiki zake.


wana kumi wa Hamani mwana wa Hamedatha, adui ya Wayahudi; lakini juu ya nyara hawakuweka mikono.


Kumbukumbu lake litakoma katika nchi, Wala hatakuwa na jina mashambani.


Hatakuwa na mwana wala mjukuu kati ya watu wake, Wala hatasalia mtu hapo alipokaa.


Matunda yao utayaharibu na kuyaondoa katika nchi, Na wazao wao katika wanadamu.


Wakipanga kukutenda mabaya, Kwa miango ya hila, hawatafanikiwa.


Kwa kuwa BWANA hupenda haki, Wala hawaachi watauwa wake. Wao hulindwa milele, Bali mzawa wa wasio haki ataharibiwa.


Kuwakumbuka wenye haki huwa na baraka; Bali jina la mtu mwovu litaoza.


BWANA asema hivi, Andikeni habari za mtu huyu kwamba hana watoto, kwamba mtu huyu hatafanikiwa siku zake zote; maana hapana mtu katika wazao wake atakayefanikiwa, akiketi katika kiti cha enzi cha Daudi, na kutawala tena katika Yuda.


Kwa nini basi jina la baba yetu kufutwa katika jamaa zake kwa sababu alikuwa hana mwana wa kiume? Tupe sisi urithi pamoja na ndugu zake baba yetu.


Basi itakuwa, hapo atakapokwisha kukupumzisha BWANA, Mungu wako, katika adui zako wote walio kandokando, katika nchi akupayo BWANA, Mungu wako, iwe urithi uimiliki, ndipo uufute ukumbuko wa Amaleki chini ya mbingu; usisahau.


BWANA hatamsamehe mtu huyo, lakini wakati huo hasira ya BWANA na wivu wake vitafuka moshi juu ya mtu yule, na laana yote iliyoandikwa katika kitabu hiki itamkalia juu yake, na BWANA atalifuta jina lake chini ya mbingu.


niache, nipate kuwaangamiza, na kulifuta jina lao chini ya mbingu; nami nitakufanya wewe uwe taifa kubwa lenye nguvu kuliko wao.


Kwa maana nimemwambia ya kwamba nitaihukumu nyumba yake milele, kwa ajili ya ule uovu alioujua; kwa kuwa wanawe walijiletea laana, wala yeye hakuwazuia.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo