Zaburi 109:12 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC12 Asiwe na mtu wa kumfanyia fadhili, Wala mtu wa kuwahurumia yatima wake. Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema12 Pasiwe na mtu wa kumwonea huruma, au Kuwatunza watoto wake yatima! Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND12 Pasiwe na mtu wa kumwonea huruma, au Kuwatunza watoto wake yatima! Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza12 Pasiwe na mtu wa kumwonea huruma, au: kuwatunza watoto wake yatima! Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu12 Asiwepo mtu yeyote wa kumtendea mema wala wa kuwahurumia yatima wake. Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu12 Asiwepo mtu yeyote wa kumtendea mema wala wa kuwahurumia yatima wake. Tazama sura |