Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni

- Matangazo -




Zaburi 109:12 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

12 Asiwe na mtu wa kumfanyia fadhili, Wala mtu wa kuwahurumia yatima wake.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

12 Pasiwe na mtu wa kumwonea huruma, au Kuwatunza watoto wake yatima!

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

12 Pasiwe na mtu wa kumwonea huruma, au Kuwatunza watoto wake yatima!

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

12 Pasiwe na mtu wa kumwonea huruma, au: kuwatunza watoto wake yatima!

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

12 Asiwepo mtu yeyote wa kumtendea mema wala wa kuwahurumia yatima wake.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

12 Asiwepo mtu yeyote wa kumtendea mema wala wa kuwahurumia yatima wake.

Tazama sura Nakili




Zaburi 109:12
9 Marejeleo ya Msalaba  

Watoto wake wako mbali na wokovu, Nao wamesongwa langoni, Wala hapana atakayewaponya.


Na nyuta zao zitawaangusha vijana; wala hawatahurumia mazao ya tumbo; jicho lao halitawahurumia watoto.


Matawi yake yatakapokauka yatavunjwa; wanawake watakuja na kuyachoma moto; kwa maana hawa si watu wenye akili; kwa sababu hiyo yeye aliyewaumba hatawahurumia, yeye aliyewafanya hatawasamehe.


Kwa sababu hiyo Bwana hatawafurahia vijana wao, wala hatawahurumia yatima zao wala wajane wao; maana kila mtu ni mnajisi, dhalimu, na kila ulimi hunena upumbavu. Pamoja na hayo yote hasira yake haikugeukia mbali, lakini mkono wake umenyoshwa hata sasa.


Watu wote wakajibu wakasema, Damu yake na iwe juu yetu, na juu ya watoto wetu.


Wapeni watu vitu, nanyi mtapewa; kipimo cha kujaa na kushindiliwa, na kusukwasukwa hata kumwagika, ndicho watu watakachowapa vifuani mwenu. Kwa kuwa kipimo kile kile mpimacho ndicho mtakachopimiwa.


Maana hukumu haina huruma kwake yeye asiyeona huruma. Huruma hujitukuza juu ya hukumu.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo