Zaburi 109:11 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC11 Mdai na anase vitu vyote alivyo navyo, Wageni na wateke mapato ya kazi yake. Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema11 Anayemdai kitu amnyanganye mali yake yote; na wageni wanyakue mapato ya jasho lake! Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND11 Anayemdai kitu amnyanganye mali yake yote; na wageni wanyakue mapato ya jasho lake! Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza11 Anayemdai kitu amnyang'anye mali yake yote; na wageni wanyakue mapato ya jasho lake! Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu11 Mtu anayemdai na ateke vyote alivyo navyo, matunda ya kazi yake yatekwe nyara na wageni. Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu11 Mtu anayemdai na ateke vyote alivyo navyo, matunda ya kazi yake yatekwe nyara na wageni. Tazama sura |