Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni

- Matangazo -




Zaburi 109:11 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

11 Mdai na anase vitu vyote alivyo navyo, Wageni na wateke mapato ya kazi yake.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

11 Anayemdai kitu amnyanganye mali yake yote; na wageni wanyakue mapato ya jasho lake!

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

11 Anayemdai kitu amnyanganye mali yake yote; na wageni wanyakue mapato ya jasho lake!

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

11 Anayemdai kitu amnyang'anye mali yake yote; na wageni wanyakue mapato ya jasho lake!

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

11 Mtu anayemdai na ateke vyote alivyo navyo, matunda ya kazi yake yatekwe nyara na wageni.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

11 Mtu anayemdai na ateke vyote alivyo navyo, matunda ya kazi yake yatekwe nyara na wageni.

Tazama sura Nakili




Zaburi 109:11
7 Marejeleo ya Msalaba  

Aliyoyataabikia kazi atayarudisha, asiyameze; Kwa mali aliyoyapata, hatafurahi.


Mavuno yake wale wenye njaa huyala, Na kuyatwaa hata kuyatoa miibani, Nao wenye kiu huzitwetea mali zao.


utakwenda kwa kupapasapapasa mchana, kama apapasavyo kipofu gizani, wala hufanikiwi katika njia zako; nawe sikuzote utaonewa na kutekwa nyara, wala hapatakuwa na mtu wa kukuokoa.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo