Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni

- Matangazo -




Zaburi 108:6 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

6 Ili watu uwapendao waokolewe, 2 Unipe ushindi kwa mkono wako wa kulia, na uniitikie.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

6 Watu hao uwapendao na wasalimishwe; utusaidie kwa mkono wako na kutusikiliza.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

6 Watu hao uwapendao na wasalimishwe; utusaidie kwa mkono wako na kutusikiliza.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

6 Watu hao uwapendao na wasalimishwe; utusaidie kwa mkono wako na kutusikiliza.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

6 Tuokoe na utusaidie kwa mkono wako wa kuume, ili wale unaowapenda wapate kuokolewa.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

6 Tuokoe na utusaidie kwa mkono wako wa kuume, ili wale uwapendao wapate kuokolewa.

Tazama sura Nakili




Zaburi 108:6
22 Marejeleo ya Msalaba  

akapeleka kwa mkono wa Nathani, nabii, naye akamwita jina lake Yedidia, kwa ajili ya BWANA.


Nanyi ombeni kwa jina la mungu wenu, nami nitaomba kwa jina la BWANA; na Mungu yule ajibuye kwa moto, na awe ndiye Mungu. Watu wote wakajibu wakasema, Maneno haya ni mazuri.


Wakamtwaa yule ng'ombe waliyepewa, wakamtengeza, wakaliitia jina la Baali tangu asubuhi hata adhuhuri, wakisema, Ee Baali, utusikie. Lakini hapakuwa na sauti, wala aliyejibu. Nao wakarukaruka juu ya madhabahu waliyoifanya.


Ikawa, wakati wa adhuhuri ulipopita, walitabiri hata wakati wa kutoa dhabihu ya jioni; lakini hapakuwa na sauti, wala aliyejibu, wala aliyeangalia.


Ee Mungu, kwa jina lako uniokoe, Na kwa uweza wako unifanyie hukumu.


Wameweka wavu ili kuninasa miguu; Nimevunjika moyo; Wamechimba shimo njiani mwangu; Lakini wao wenyewe wametumbukia humo!


BWANA, mkono wako wa kulia umepata fahari ya uwezo, BWANA, mkono wako wa kulia wawasetaseta adui.


Na itakuwa ya kwamba, kabla hawajaomba, nitajibu; na wakiwa bado wanena, nitasikia.


Niite, nami nitakuitikia, nami nitakuonesha mambo makubwa, magumu usiyoyajua.


Alipokuwa bado akisema, tazama, wingu jeupe likawatia uvuli; na tazama, sauti ikatoka katika lile wingu, ikasema, Huyu ni Mwanangu, mpendwa wangu, ninayependezwa naye; msikieni yeye.


na tazama, sauti kutoka mbinguni ikasema, Huyu ni Mwanangu, mpendwa wangu, ninayependezwa naye.


kwa wote walioko Rumi, wapendwao na Mungu, walioitwa kuwa watakatifu. Neema na iwe kwenu na amani itokayo kwa Mungu Baba yetu, na kwa Bwana Yesu Kristo.


Na usifiwe utukufu wa neema yake, ambayo ametuneemesha katika huyo Mpendwa.


Akamnena Benyamini, Mpenzi wa BWANA atakaa salama kwake; Yuamfunika mchana kutwa, Naye hukaa kati ya mabega yake.


Basi, kwa kuwa mmekuwa wateule wa Mungu, watakatifu wapendwao, jivikeni moyo wa rehema, utu wema, unyenyekevu, upole, uvumilivu,


Tufuate:

Matangazo


Matangazo