Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni

- Matangazo -




Zaburi 108:11 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

11 Ee Mungu, si Wewe uliyetutupa? Wala, Ee Mungu, huendi na majeshi yetu?

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

11 Je, umetuacha kabisa, ee Mungu? Wewe huendi tena na majeshi yetu!

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

11 Je, umetuacha kabisa, ee Mungu? Wewe huendi tena na majeshi yetu!

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

11 Je, umetuacha kabisa, ee Mungu? Wewe huendi tena na majeshi yetu!

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

11 Ee Mungu, si ni wewe uliyetukataa sisi, na hutoki tena na majeshi yetu?

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

11 Ee Mungu, si ni wewe uliyetukataa sisi, na hutoki tena na majeshi yetu?

Tazama sura Nakili




Zaburi 108:11
9 Marejeleo ya Msalaba  

Na tazama, Mungu yu pamoja nasi atutangulie, na makuhani wake wenye parapanda, ili wapige sauti ya kuanza vita juu yenu. Enyi wana wa Israeli, msipigane na BWANA, Mungu wa baba zenu; kwani hamtafanikiwa.


Naye Asa akamlilia BWANA, Mungu wake, akasema, BWANA, hapana kuliko wewe aliye wa kusaidia, kati yake yeye aliye hodari, na yeye asiye na nguvu; utusaidie, Ee BWANA, Mungu wetu; kwa kuwa sisi twakutegemea wewe, na kwa jina lako tumekuja juu ya jamii kubwa hii. Ee BWANA, wewe ndiwe Mungu wetu, asikushinde mwanadamu.


akasema, Sikieni, Yuda wote, nanyi mkaao Yerusalemu, na wewe mfalme Yehoshafati; BWANA awaambia hivi, Msiogope, wala msifadhaike kwa ajili ya jeshi kubwa hili; kwani vita si yenu bali ni ya Mungu.


Lakini umetutupa, umetufedhehesha, Wala huendi na majeshi yetu.


Tena hapo mtakapokwenda kupiga vita katika nchi yenu, kupigana na adui awaoneaye ninyi, ndipo mtakapopiga sauti ya kugutusha kwa tarumbeta; nanyi mtakumbukwa mbele za BWANA, Mungu wenu, nanyi mtaokolewa na adui zenu.


Daudi akaongea na watu waliosimama karibu, akisema, Je! Atafanyiwaje yeye atakayemwua Mfilisti huyo, na kuwaondolea Israeli aibu hii? Maana Mfilisti huyu asiyetahiriwa ni nani hata awatukane majeshi ya Mungu aliye hai?


Mtumishi wako alimwua simba na dubu pia; na huyu Mfilisti asiyetahiriwa atakuwa kama mmoja wao, kwa sababu amewatukana majeshi ya Mungu aliye hai.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo