Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni

- Matangazo -




Zaburi 108:1 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

1 Ee Mungu, moyo wangu u thabiti, Nitaimba, nitaimba zaburi, Naam, kwa utukufu wangu.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

1 Niko thabiti moyoni, ee Mungu, naam, niko thabiti moyoni; nitaimba na kukushangilia! Amka, ee nafsi yangu!

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

1 Niko thabiti moyoni, ee Mungu, naam, niko thabiti moyoni; nitaimba na kukushangilia! Amka, ee nafsi yangu!

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

1 Niko thabiti moyoni, ee Mungu, naam, niko thabiti moyoni; nitaimba na kukushangilia! Amka, ee nafsi yangu!

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

1 Ee Mungu, moyo wangu ni thabiti; nitaimba na kusifu kwa moyo wangu wote.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

1 Ee Mungu, moyo wangu ni thabiti; nitaimba na kusifu kwa moyo wangu wote.

Tazama sura Nakili




Zaburi 108:1
13 Marejeleo ya Msalaba  

Nitamwimbia BWANA maadamu ninaishi; Nitamshangilia Mungu wangu nikiwa hai;


Nitakushukuru kwa moyo wangu wote, Mbele ya miungu nitakuimbia zaburi.


Kinywa changu kitazinena sifa za BWANA; Wote wenye mwili na walihimidi jina lake takatifu milele na milele.


Kwa hiyo moyo wangu unafurahi, Nayo nafsi yangu inashangilia, Naam, mwili wangu nao utakaa kwa kutumaini.


Ili nafsi yangu ikusifu, Wala isinyamaze. Ee BWANA, Mungu wangu, Nitakushukuru milele.


Nitamhimidi BWANA kila wakati, Sifa zake zi kinywani mwangu daima.


Mungu na ainuke, adui zake watawanyike, Nao wamchukiao huukimbia uso wake.


Lakini mimi nitakutumainia daima Na nitaendelea kukusifu zaidi na zaidi.


Kinywa changu kitajazwa sifa zako, Na heshima yako mchana kutwa.


Ndipo Musa na wana wa Israeli wakamwimbia BWANA wimbo huu wakanena, na kusema, Nitamwimbia BWANA, kwa maana ametukuka sana; Farasi na mpanda farasi amewatupa baharini.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo