Zaburi 108:1 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC1 Ee Mungu, moyo wangu u thabiti, Nitaimba, nitaimba zaburi, Naam, kwa utukufu wangu. Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema1 Niko thabiti moyoni, ee Mungu, naam, niko thabiti moyoni; nitaimba na kukushangilia! Amka, ee nafsi yangu! Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND1 Niko thabiti moyoni, ee Mungu, naam, niko thabiti moyoni; nitaimba na kukushangilia! Amka, ee nafsi yangu! Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza1 Niko thabiti moyoni, ee Mungu, naam, niko thabiti moyoni; nitaimba na kukushangilia! Amka, ee nafsi yangu! Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu1 Ee Mungu, moyo wangu ni thabiti; nitaimba na kusifu kwa moyo wangu wote. Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu1 Ee Mungu, moyo wangu ni thabiti; nitaimba na kusifu kwa moyo wangu wote. Tazama sura |