Zaburi 107:37 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC37 Wakapanda mbegu katika mashamba, Na kutia mizabibu iliyotoa matunda yake. Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema37 Walilima mashamba na kupanda mizabibu, wakavuna mazao kwa wingi. Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND37 Walilima mashamba na kupanda mizabibu, wakavuna mazao kwa wingi. Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza37 Walilima mashamba na kupanda mizabibu, wakavuna mazao kwa wingi. Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu37 Walilima mashamba na kupanda mizabibu, nayo ikazaa matunda mengi, Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu37 Walilima mashamba na kupanda mizabibu, nayo ikazaa matunda mengi, Tazama sura |