Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni

- Matangazo -




Zaburi 107:31 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

31 Na wamshukuru BWANA kwa fadhili zake, Na maajabu yake kwa wanadamu.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

31 Mshukuruni Mwenyezi-Mungu kwa fadhili zake; kwa sababu ya maajabu aliyowatendea binadamu.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

31 Mshukuruni Mwenyezi-Mungu kwa fadhili zake; kwa sababu ya maajabu aliyowatendea binadamu.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

31 Mshukuruni Mwenyezi-Mungu kwa fadhili zake; kwa sababu ya maajabu aliyowatendea binadamu.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

31 Basi na wamshukuru Mwenyezi Mungu kwa upendo wake usiokoma, na kwa matendo yake ya ajabu kwa wanadamu.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

31 Basi na wamshukuru bwana kwa upendo wake usiokoma, na kwa matendo yake ya ajabu kwa wanadamu.

Tazama sura Nakili




Zaburi 107:31
17 Marejeleo ya Msalaba  

Ee nafsi yangu, umhimidi BWANA, Wala usizisahau fadhili zake zote.


Na wamshukuru BWANA kwa fadhili zake, Na maajabu yake kwa wanadamu.


Na wamshukuru BWANA kwa fadhili zake, Na maajabu yake kwa wanadamu.


Na wamshukuru BWANA, kwa fadhili zake, Na maajabu yake kwa wanadamu.


Ee Mungu, umenifundisha tokea ujana wangu; Nimekuwa nikitangaza miujiza yako hata leo.


Nitayakumbuka matendo ya BWANA; Naam, nitayakumbuka maajabu yako ya kale.


Wewe ndiwe Mungu ufanyaye maajabu; Uliudhihirisha uweza wako kati ya mataifa.


Maana hakujua ya kuwa mimi ndiye niliyempa ngano, na divai, na mafuta, na kumwongezea fedha na dhahabu, walivyovitumia kwa ajili ya Baali.


Ndipo wale watu wakamwogopa BWANA mno, wakamtolea BWANA sadaka, na kuweka nadhiri.


Lakini mimi nitakutolea sadaka kwa sauti ya shukrani; Nitaziondoa nadhiri zangu. Wokovu hutoka kwa BWANA.


Maana watu watakuwa wenye kujipenda wenyewe, wenye kupenda fedha, wenye kujisifu, wenye kiburi, wenye kutukana, wasiotii wazazi wao, wasio na shukrani, wasio safi,


Basi, kwa njia yake yeye, na tumpe Mungu dhabihu ya sifa daima, yaani, tunda la midomo iliungamalo jina lake.


Nao wauimba wimbo wa Musa, mtumwa wa Mungu, na wimbo wa Mwana-kondoo, wakisema, Ni makuu, na ya ajabu, matendo yako, Ee Bwana Mungu Mwenyezi; Ni za haki, na za kweli, njia zako, Ee Mfalme wa mataifa.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo