Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni

- Matangazo -




Zaburi 107:28 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

28 Wakamlilia BWANA katika dhiki zao, Akawaponya kutoka kwa shida zao.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

28 Ndipo katika taabu zao wakamlilia Mwenyezi-Mungu, naye akawaokoa katika mateso zao.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

28 Ndipo katika taabu zao wakamlilia Mwenyezi-Mungu, naye akawaokoa katika mateso zao.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

28 Ndipo katika taabu zao wakamlilia Mwenyezi-Mungu, naye akawaokoa katika mateso zao.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

28 Ndipo walipomlilia Mwenyezi Mungu katika shida yao, naye akawatoa kwenye taabu yao.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

28 Ndipo walipomlilia bwana katika shida yao, naye akawatoa kwenye taabu yao.

Tazama sura Nakili




Zaburi 107:28
9 Marejeleo ya Msalaba  

Lakini aliyaangalia mateso yao, Aliposikia kilio chao.


Wakamlilia BWANA katika dhiki zao, Akawaponya kutoka kwa shida zao.


Wakamlilia BWANA katika dhiki zao, Akawaponya kutoka kwa shida zao.


Wakamlilia BWANA katika dhiki zao, Akawaponya na shida zao.


Nitakwenda zangu niparudie mahali pangu, hata watakapoungama makosa yao na kunitafuta uso wangu; katika taabu yao watanitafuta kwa bidii.


Basi wakamlilia BWANA, wakasema, Twakuomba, Ee BWANA, twakuomba, tusiangamie kwa ajili ya uhai wa mtu huyu, wala usitupatilize kwa ajili ya damu isiyo na hatia; kwa maana wewe, BWANA, umefanya kama ulivyopenda.


Wanafunzi wake wakamwendea, wakamwamsha, wakisema, Bwana, tuokoe, tunaangamia.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo