Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni

- Matangazo -




Zaburi 107:26 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

26 Walirushwa juu mbinguni, waliteremka hadi vilindini, Uhodari wao ukayeyuka katika maafa yao.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

26 Walitupwa juu angani, kisha chini vilindini; uhodari wao ukawaishia katika mkasa huo.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

26 Walitupwa juu angani, kisha chini vilindini; uhodari wao ukawaishia katika mkasa huo.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

26 Walitupwa juu angani, kisha chini vilindini; uhodari wao ukawaishia katika mkasa huo.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

26 Yakainuka juu mbinguni, yakashuka chini hadi vilindini; katika hatari hii ujasiri wao uliyeyuka.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

26 Yakainuka juu mbinguni, yakashuka chini hadi vilindini, katika hatari hii ujasiri wao uliyeyuka.

Tazama sura Nakili




Zaburi 107:26
5 Marejeleo ya Msalaba  

Basi hata yeye aliye shujaa, mwenye moyo kama moyo wa simba, atayeyuka kabisa; maana Israeli wote wanajua ya kuwa baba yako ni shujaa, na ya kuwa watu wale walio pamoja naye ni mashujaa.


Nafsi yangu imeyeyuka kwa huzuni, Unitie nguvu sawasawa na neno lako.


Nimemwagika kama maji, Mifupa yangu yote imeteguka, Moyo wangu umekuwa kama nta, Na kuyeyuka ndani ya moyo wangu.


Kwa sababu hiyo mikono yote italegea, na moyo wa kila mtu utayeyuka.


Amekuwa utupu, na ukiwa, na uharibifu; hata moyo unayeyuka, na magoti yanagonganagongana; moyoni kote mna uchungu, na nyuso za wote zimekuwa nyeupe kwa hofu.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo