Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni

- Matangazo -




Zaburi 107:21 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

21 Na wamshukuru BWANA kwa fadhili zake, Na maajabu yake kwa wanadamu.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

21 Mshukuruni Mwenyezi-Mungu kwa fadhili zake; kwa sababu ya maajabu aliyowatendea binadamu.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

21 Mshukuruni Mwenyezi-Mungu kwa fadhili zake; kwa sababu ya maajabu aliyowatendea binadamu.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

21 Mshukuruni Mwenyezi-Mungu kwa fadhili zake; kwa sababu ya maajabu aliyowatendea binadamu.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

21 Basi na wamshukuru Mwenyezi Mungu kwa upendo wake usiokoma, na kwa matendo yake ya ajabu kwa wanadamu.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

21 Basi na wamshukuru bwana kwa upendo wake usiokoma, na kwa matendo yake ya ajabu kwa wanadamu.

Tazama sura Nakili




Zaburi 107:21
6 Marejeleo ya Msalaba  

Walakini Hezekia hakuwa na shukrani kadiri alivyofadhiliwa; kwa kuwa moyo wake ulijawa na kiburi; kwa hiyo ikawako hasira juu yake, na juu ya Yuda na Yerusalemu.


Na wamshukuru BWANA kwa fadhili zake, Na maajabu yake kwa wanadamu.


Na wamshukuru BWANA kwa fadhili zake, Na maajabu yake kwa wanadamu.


Na wamshukuru BWANA, kwa fadhili zake, Na maajabu yake kwa wanadamu.


Njoni myaone matendo ya Mungu; Hutisha kwa mambo awatendayo wanadamu;


Je! Hawakuonekana waliorudi kumpa Mungu utukufu ila mgeni huyu?


Tufuate:

Matangazo


Matangazo