Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni
- Matangazo -




Zaburi 107:20 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

20 Hulituma neno lake, huwaponya, Huwatoa katika maangamizo yao.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

20 Kwa neno lake aliwaponya, akawaokoa wasiangamie.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

20 Kwa neno lake aliwaponya, akawaokoa wasiangamie.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

20 Kwa neno lake aliwaponya, akawaokoa wasiangamie.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

20 Akalituma neno lake na kuwaponya, akawaokoa kutoka maangamizi yao.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

20 Akalituma neno lake na kuwaponya, akawaokoa kutoka maangamizo yao.

Tazama sura Nakili




Zaburi 107:20
14 Marejeleo ya Msalaba  

Huipeleka amri yake juu ya nchi, Neno lake lapiga mbio sana.


Huwaponya waliopondeka moyo, Na kuyaganga majeraha yao.


Mwimbieni BWANA zaburi, Enyi watauwa wake. Na kutoa shukrani. Kwa kukumbuka utakatifu wake.


Bali Mungu atanikomboa nafsi yangu, Atanitoa mkononi mwa kuzimu, maana atanipokea.


Maana umeniponya nafsi yangu na mauti; Je! Hukuizuia miguu yangu isianguke? Ili niende mbele za Mungu Katika nuru ya walio hai.


Yule afisa akamjibu, akasema, Bwana, mimi sistahili wewe uingie chini ya dari yangu; lakini sema neno tu, na mtumishi wangu atapona.


Yesu alipomwona alimwita, akamwambia, Mama, umefunguliwa katika udhaifu wako.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo