Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni

- Matangazo -




Zaburi 107:19 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

19 Wakamlilia BWANA katika dhiki zao, Akawaponya kutoka kwa shida zao.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

19 Ndipo katika taabu yao wakamlilia Mwenyezi-Mungu, naye akawaokoa katika mateso yao.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

19 Ndipo katika taabu yao wakamlilia Mwenyezi-Mungu, naye akawaokoa katika mateso yao.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

19 Ndipo katika taabu yao wakamlilia Mwenyezi-Mungu, naye akawaokoa katika mateso yao.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

19 Ndipo walipomlilia Mwenyezi Mungu katika shida yao, naye akawaokoa kutoka taabu yao.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

19 Ndipo walipomlilia bwana katika shida yao, naye akawaokoa kutoka taabu yao.

Tazama sura Nakili




Zaburi 107:19
10 Marejeleo ya Msalaba  

Lakini aliyaangalia mateso yao, Aliposikia kilio chao.


Wakamlilia BWANA katika dhiki zao, Akawaponya kutoka kwa shida zao.


Wakamlilia BWANA katika dhiki zao, Akawaponya kutoka kwa shida zao.


Wakamlilia BWANA katika dhiki zao, Akawaponya na shida zao.


Niite, nami nitakuitikia, nami nitakuonesha mambo makubwa, magumu usiyoyajua.


Nitakwenda zangu niparudie mahali pangu, hata watakapoungama makosa yao na kunitafuta uso wangu; katika taabu yao watanitafuta kwa bidii.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo