Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni

- Matangazo -




Zaburi 107:18 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

18 Nafsi zao zachukia kila namna ya chakula, Wameyakaribia malango ya mauti.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

18 chakula kikawa kinyaa kwao, wakawa nusura wafe.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

18 chakula kikawa kinyaa kwao, wakawa nusura wafe.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

18 chakula kikawa kinyaa kwao, wakawa nusura wafe.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

18 Wakachukia kabisa vyakula vyote, wakakaribia malango ya mauti.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

18 Wakachukia kabisa vyakula vyote, wakakaribia malango ya mauti.

Tazama sura Nakili




Zaburi 107:18
5 Marejeleo ya Msalaba  

Je! Umefunuliwa malango ya mauti, Au umeyaona malango ya kuzimu?


Maana nafsi yangu imeshiba taabu, Na uhai wangu umekaribia kuzimu.


Wewe, BWANA, unifadhili, Tazama mateso niteswayo na wanaonichukia; Wewe uniinuaye katika malango ya mauti,


Nilisema, Katika usitawi wa siku zangu nitakwenda kuingia malango ya kuzimu; Nimenyimwa mabaki ya miaka yangu.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo