Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni

- Matangazo -




Zaburi 107:13 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

13 Wakamlilia BWANA katika dhiki zao, Akawaponya kutoka kwa shida zao.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

13 Ndipo katika taabu yao wakamlilia Mwenyezi-Mungu, naye akawaokoa katika mateso yao.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

13 Ndipo katika taabu yao wakamlilia Mwenyezi-Mungu, naye akawaokoa katika mateso yao.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

13 Ndipo katika taabu yao wakamlilia Mwenyezi-Mungu, naye akawaokoa katika mateso yao.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

13 Ndipo walipomlilia Mwenyezi Mungu katika shida yao, naye akawaokoa kutoka taabu yao.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

13 Ndipo walipomlilia bwana katika shida yao, naye akawaokoa kutoka taabu yao.

Tazama sura Nakili




Zaburi 107:13
14 Marejeleo ya Msalaba  

Lakini aliyaangalia mateso yao, Aliposikia kilio chao.


Wakamlilia BWANA katika dhiki zao, Akawaponya kutoka kwa shida zao.


Wakamlilia BWANA katika dhiki zao, Akawaponya kutoka kwa shida zao.


Wakamlilia BWANA katika dhiki zao, Akawaponya na shida zao.


Katika shida yangu nilimwita BWANA, Na kumlalamikia Mungu wangu. Akaisikia sauti yangu hekaluni mwake, Kilio changu kikaingia masikioni mwake.


Nitakwenda zangu niparudie mahali pangu, hata watakapoungama makosa yao na kunitafuta uso wangu; katika taabu yao watanitafuta kwa bidii.


Wana wa Israeli wakamlilia BWANA; kwa kuwa Sisera alikuwa na magari ya chuma mia tisa ya vita; naye akawakandamiza sana wana wa Israeli muda wa miaka ishirini.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo