Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni

- Matangazo -




Zaburi 106:46 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

46 Akawajalia kuhurumiwa Na watu wote waliowateka.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

46 Aliwafanya waliowakandamiza wawaonee huruma.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

46 Aliwafanya waliowakandamiza wawaonee huruma.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

46 Aliwafanya waliowakandamiza wawaonee huruma.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

46 Akawafanya wahurumiwe na wote waliowashikilia mateka.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

46 Akawafanya wahurumiwe na wote waliowashikilia mateka.

Tazama sura Nakili




Zaburi 106:46
8 Marejeleo ya Msalaba  

basi, usikie huko mbinguni, ukawaachilie watu wako Israeli dhambi yao, ukawarejeshe tena katika nchi uliyowapa baba zao.


ukawasamehe watu wako waliokutenda dhambi, na makosa yao yote waliyokukosa; ukawape kuonewa huruma mbele yao waliowachukua mateka, ili wapate kuwahurumia.


Kwa kuwa mkimrudia BWANA, ndugu zenu na watoto wenu watahurumiwa machoni pa hao waliowachukua mateka, nao watairudia nchi hii; kwa kuwa BWANA, Mungu wenu, ndiye mwenye neema, na mwenye rehema, wala hatawageuzia mbali uso wake, mkimrudia.


Na watu wote waliokaa karibu nao pande zote wakawatia nguvu mikono yao, kwa vyombo vya fedha, kwa dhahabu, kwa mali, na kwa wanyama, na vitu vya thamani, zaidi ya vile vilivyotolewa kwa hiari ya mtu.


Maana sisi tu watumwa; lakini Mungu wetu hakutuacha katika utumwa wetu, bali ametufikishia rehema zake, mbele ya wafalme wa Uajemi, ili kutupa maisha mapya, kuisimamisha nyumba ya Mungu wetu, na kuitengeneza palipobomoka, na atulinde katika Yuda na Yerusalemu.


Ee Bwana, nakusihi, litege sikio lako, uyasikilize maombi ya mtumishi wako, na maombi ya watumishi wako, wanaofurahi kulicha jina lako; nakuomba sana; unifanikishe mimi, mtumishi wako, leo, ukanijalie rehema mbele ya mtu huyu. (Maana, nilikuwa mnyweshaji wa mfalme).


BWANA akasema, Hakika nitakutia nguvu upate mema; hakika nitamlazimisha adui akusihi wakati wa uovu, na wakati wa taabu.


Nami nitawapa rehema, kwamba awarehemu ninyi, na kuwarudisha mkae katika nchi yenu wenyewe.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo