Zaburi 106:39 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC39 Ndivyo walivyotiwa uchafu kwa kazi zao, Wakafanya uasherati kwa matendo yao. Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema39 Hivyo wakafanywa najisi kwa matendo yao, 2wakakosa uaminifu kwa Mungu kama wazinzi. Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND39 Hivyo wakafanywa najisi kwa matendo yao, 2wakakosa uaminifu kwa Mungu kama wazinzi. Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza39 Hivyo wakafanywa najisi kwa matendo yao, wakakosa uaminifu kwa Mungu kama wazinzi. Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu39 Wakajinajisi wenyewe kwa yale waliyotenda; kwa matendo yao wenyewe wakajifanyia ukahaba. Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu39 Wakajinajisi wenyewe kwa yale waliyotenda; kwa matendo yao wenyewe wakajifanyia ukahaba. Tazama sura |