Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni

- Matangazo -




Zaburi 106:35 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

35 Bali walijichanganya na mataifa, Wakajifunza matendo yao.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

35 Bali walijumuika na watu wa mataifa, wakajifunza kutenda mambo yao.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

35 Bali walijumuika na watu wa mataifa, wakajifunza kutenda mambo yao.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

35 Bali walijumuika na watu wa mataifa, wakajifunza kutenda mambo yao.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

35 bali walijichanganya na mataifa na wakazikubali desturi zao.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

35 bali walijichanganya na mataifa na wakazikubali desturi zao.

Tazama sura Nakili




Zaburi 106:35
12 Marejeleo ya Msalaba  

Usije ukajifunza njia zake; Na kujipatia nafsi yako mtego.


Maana wewe umewaacha watu wako, nyumba ya Israeli, kwa sababu wamejaa kawaida za mashariki, nao ni wapiga ramli kama Wafilisti, na wanapeana mikono na wana wa wageni.


Efraimu ajichanganya na mataifa; Efraimu ni mkate usiogeuzwa.


Msidanganyike; Mazungumzo mabaya huharibu tabia njema.


Kujisifu kwenu si kuzuri. Hamjui kwamba chachu kidogo hulichachusha donge zima?


ujiangalie, usije ukanaswa ukawafuata, wakiisha kuangamizwa mbele yako; wala usije ukauliza habari za miungu yao, ukisema, Mataifa haya waitumikiaje miungu yao? Nami nifanye hivyo.


Tena katika habari ya Wayebusi, hao wenye kukaa Yerusalemu, wana wa Yuda hawakuweza kuwatoa; lakini hao Wayebusi walikaa pamoja na wana wa Yuda huko Yerusalemu hata hivi leo.


Wana wa Israeli walifanya yaliyo maovu mbele za macho ya BWANA, nao wakamsahau BWANA, Mungu wao, nao wakawatumikia Mabaali na Maashtorethi.


Basi Gideoni akafanya naivera kwa vitu vile, akaiweka katika mji wake, mji huo wa Ofra; nao Israeli wote wakaenda na kuiandama kwa ukahaba huko; nayo ilikuwa ni tanzi kwa Gideoni na kwa nyumba yake.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo